Hawa nisawa na Halotel
Wao Wapo kivingine
Wanakwambia ongeza Salio upate dak za bure
Ajabu ni kwamba ,MTU ana kifurushi cha wiki ,anaongeza dk kwa lengo la kuzuia dak zake zisi expire
Ukijiunga tu mfano Tsh2000
Wanakupa dak 20 siku 2 na unapo anza kupiga simu hazitumiki hizo za offer zinatumika zile za wiki
Baada ya siku 2 offer ina expire
Nimtindo mpya wa kuwa danganya watu