Ongeza siku za kuishi hap

ha ha ha haaa..!!
hilo nalo jipu
 
Tigo wasanii sana,utapeli mtupu.Mtawapata washamba washamba tuu wenye akili zetu kamwe mtandao wa watoto wa shule
 
Mpaka nilipe ndio nipate bure hahahahahaha kwel Bure alikufa siku nyng
 
Watu wa masoko wamekuwa sio wabunifu wa kutosha siku hizi
 
Hawa nisawa na Halotel
Wao Wapo kivingine
Wanakwambia ongeza Salio upate dak za bure

Ajabu ni kwamba ,MTU ana kifurushi cha wiki ,anaongeza dk kwa lengo la kuzuia dak zake zisi expire
Ukijiunga tu mfano Tsh2000
Wanakupa dak 20 siku 2 na unapo anza kupiga simu hazitumiki hizo za offer zinatumika zile za wiki
Baada ya siku 2 offer ina expire
Nimtindo mpya wa kuwa danganya watu
 
Afisa Masoko anayecheza na Emotional ideology za watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…