DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Ndugu. Onesmo ole Bulumwa amezungumza hayo baada ya kupewa nafasi ya kuzungumza na kutoa salamu kwa wanachama na wajumbe waliofika katika mkutano huo Mlimani City Jijini Dar es salaam.
Kwanza kabisa Tunapenda kuwapongeza chama cha ACT kwa uzalendo kwa kuendelea kutambua Sector Binafsi hasa linapokuja suala la haki za Binadamu, pia na sisi kama asasi za kiraia tumefurahishwa na hiki mnachokifanya na kutupatia nafasi ya kuwakilisha wengine.
Kwanza kabisa Tunapenda kuwapongeza chama cha ACT kwa uzalendo kwa kuendelea kutambua Sector Binafsi hasa linapokuja suala la haki za Binadamu, pia na sisi kama asasi za kiraia tumefurahishwa na hiki mnachokifanya na kutupatia nafasi ya kuwakilisha wengine.