Oneni hii jamani

si tabia nzuri,inaumiza na kuoneysha humthamini na kuheshimu muda na uwepo wa boyfriend....natumai alimwonya kwanza, manake kuna watu wana mazoea hayo,ni vizuri kumrekebisha kwanza then akiendelea basi hatua kama hiyo inamstahili.....!

Kwa hiyo jamaa kampatia adhabu stahiki au sio?
 
Labda hazikuwa sms. Usijekuta huyo dada alikuwa Jamii Forum anapost kwa fujo.

Hiyo kitu cha sms mia mbili ya ma promo ya tigo.Ila inawezekana yupo humu humu hapo ndo taonekana chakubimbi wa mahusiano yao.
 
amezungumza na girlfriend wake kuhusu hilo swala au ndo kakimbilia kwako kuomba ushauri?

Ni tulikuwa nae baada ya kurudi kutoka huko out ndipo akaniuliza "Hivi unamchukuliaje mpz wako anapokuwa bussy na simu alafu umetoka nae out mkarefresh mind zenu"Ndipo nikamuuliza kwa nin unaniuliza swali hilo ndo nikapewa mkanda mzima.
 
Hizo ni zarau..... ZArau zaRau haswaaaaa!
Mi first time namwambia live, then akiendelea uamuz wa mshkaj huyo ni aplicable kabisaaaaa
 
Mteme tu siyo tabia nzuri gal frnd wangu wa kwanza alikuwa na mambo hayo sana,unaweza kuta mpo wote ila ol tym cm yake bz,alf ukiangalia chatng yenyewe anawazengua wanaume anawatongoza nikatemana naye2.

Hii tabia kweli haifurahishi utakuwaje bize kama Customer care bwana? Ila jambo halijanitokea mimi ni jamaa yangu.
 
Mimi demu kama huyo simwachi ila nitakuwa namtafuta nikitaka mikasi tu baada ya mikasi naishia baa kupiga story na wengine ili na yeye nimwache na charting yake.

Huoni kama unajihatarisha maisha yako? UKIUNGUA JE?
 
I hate this,nimeshamuonya gf wangu mara kibao, sa hivi atleast....dawa yake na wewe unaendelea na shughuli zako halafu kama ni jambo la muhimu unaamua au unamfunza kwa kuahirisha kitu cha muhimu mara moja halafu unatoa sababu alikua hakusikilizi then ataisoma namba hatarudia.
 
Inawezekana pia huyo dem kawa addicted na hiyo hali.Kwa nchi zilizoendelea ni tatizo linalokua kwa kasi sana hasa kwa watoto na vijana.Addiction ya internet na chatting
 
Nitabia mbaya sana aisee,
Kuna moja niliishuhudia tulikaa nao meza jiran,yan mdada mda wote anacheka na cm tu anachat,kumbe jamaa keshakereka mpaka basi,akawa anaangalia tu,kila akimstua bidada anaacha kidogo then anaendelea bila kutarajia jamaa akamnyang'anya cm akaizima na kuiweka mfukon,

Bodada likamshuka pale mpaka tumewaacha jamaa hakumrudishia ila cm!!
Kiukweli haipendezi kbs kutopay attention kwa mwenzio kisa unachat!!
 
Mambo zenu ma G-thinker?
Nauliza hivi ni response gan huwa mnaichukua iwapo girlfriend wako anakuwa anachat muda wote hata mkiwa kwenye mazungumzo yenu serious? Coz kuna rafiki yangu kamtelekeza girlfriend wake huko mjin kaja ananiuliza hili swala.Kisa girlfriend wake alikuwa bize na simu yake ndipo jamaa kasusa kuona hazingatiwi anachozungumza kisa sms Chating.

alaf ukute hizo credit nahudumia mm ??? walah na nasa mtu makofi !!!
 
Moja ya dalili ya mpenzi wako kukupenda na kukujali ni kua kila mnapokua pamoja wewe ndio center of his/her concentration…. Kwamaba hata akitumia simu ni kwaajili ya brief use then mwaendelea na story zenu. OK yawezekana kua hajagundua kua ni kosa anafanya but ikitokea ongea nae, na akiendelea then jua yupo na wewe sababu akuhitaji lakini sio kua akupenda…. Siamini kua waweza penda mpenzi wako then ukiwa nae chatting ndio ikawa bora zaidi…..
 
ama kweli simu zinaleta balaa nowadays... almost kila kukicha ni vimbwanga na vibweka vya simu ndani ya mahusiano
 
Mambo zenu ma G-thinker?
Nauliza hivi ni response gan huwa mnaichukua iwapo girlfriend wako anakuwa anachat muda wote hata mkiwa kwenye mazungumzo yenu serious? Coz kuna rafiki yangu kamtelekeza girlfriend wake huko mjin kaja ananiuliza hili swala.Kisa girlfriend wake alikuwa bize na simu yake ndipo jamaa kasusa kuona hazingatiwi anachozungumza kisa sms Chating.

Kiukweli hiyo tabia aliyonayo huyo msichana sio nzuri inaonyesha dharau na jinsi gani asivyomthamini mpenzi wake pia kwa kufanya hivyo kuna maanisha kuwa watu anaochat nao ni muhimu kuliko hata mpenzi wake. Kama kweli angekuwa anampenda mpenzi wake anamjali na kumheshimu sidhani kama angeweza kumfanyia kitendo kama hicho. Embu muulize hili swali je anaweza kuongea na baba yake na mama yake huku anachat na simu tena akiwa bize kiasi cha kutoconcentrate kitu ambacho mzazi wake anamwambia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom