charger
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 2,320
- 1,373
Dogo mmoja kapelekwa hospital na mdingi wake,dokta akawa anamwandikia dawa,baba yake akatoka nje kuongea na simu,mtoto akamuinamia dokta na kumwita kwa sauti ya chini,dokta! dokta!......kwenye dozi ya dawa andika FANTA BARIDI NA CHIPS MISHKAKI kwa siku 30 kutwa x 3!.Dokta hoi:-*