OMO amueleza Mufti ukorofi wa watawala

OMO amueleza Mufti ukorofi wa watawala

Bagamoyo

Platinum Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
29,871
Reaction score
34,028
29 August 2025
Unguja, Zanzibar

OMO - NCHI INAELEKEA KWENYE KHATARI KUBWA

Othman Masoud Othman afika ofisini kwa Mufti Mkuu wa Zanzibar mheshimiwa Sheikh Saleh Omar Kabi


View: https://m.youtube.com/watch?v=E8JPsgD5Yw0

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, amemuelezea Mufti wa Zanzibar ukweli wote kuhusu kilichokwenda kombo upande wa watawala.

OMO asema kuna umuhimu wa ukweli kuwekwa wazi juu ya watawala, na ukweli lazima uvuliwe nguo ...


Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi asimuliwa vitendo vya kihayawani vilivyofanywa na watawala ..

Othman Masoud Othman aliongozana na viongozi kadhaa wa ACT Wazalendo wakiowemo kina Ismail Jussa, ...

Baada ya OMO kumuelezea kwa kirefu na kina ukorofi wa watawala waliyoyafaya kutoka wakti wa Tume ya Hashim Mbita hadi mazungumzo ya ACT Wazalendo na Rais Samia Hassan kuhusu mambo yarekebishwe kisha huku wakipewa ahadi kibao ambazo hazijatekekezwa, ... OMO amkabidhi mheshimiwa Mufti kitabu / kabrasha lenye taarifa hizo nzito kwa kumbukumbu ...

Source : Gumzo la Ghassani
 
ACT wajikite kwenye kulinda kura zao, haya sasa kiko wapi? Pambaneni mkiwa bungeni.
Na nyie CHAUMMA jiandaeni. CCM mwaka huu inapambana na UMD na TLP.
 
29 August 2025
Unguja, Zanzibar

OMO - NCHI INAELEKEA KWENYE KHATARI KUBWA

Othman Masoud Othman afika ofisini kwa Mufti Mkuu wa Zanzibar mheshimiwa Sheikh Saleh Omar Kabi


View: https://m.youtube.com/watch?v=E8JPsgD5Yw0

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, amemuelezea Mufti wa Zanzibar ukweli wote kuhusu kilichokwenda kombo upande wa watawala.

OMO asema kuna umuhimu wa ukweli kuwekwa wazi juu ya watawala, na ukweli lazima uvuliwe nguo ...


Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi asimuliwa vitendo vya kihayawani vilivyofanywa na watawala ..

Othman Masoud Othman aliongozana na viongozi kadhaa wa ACT Wazalendo wakiowemo kina Ismail Jussa, ...

Baada ya OMO kumuelezea kwa kirefu na kina ukorofi wa watawala waliyoyafaya kutoka wakti wa Tume ya Hashim Mbita hadi mazungumzo ya ACT Wazalendo na Rais Samia Hassan kuhusu mambo yarekebishwe kisha huku wakipewa ahadi kibao ambazo hazijatekekezwa, ... OMO amkabidhi mheshimiwa Mufti kitabu / kabrasha lenye taarifa hizo nzito kwa kumbukumbu ...

Source : Gumzo la Ghassani

Yani nchi hii mashehe wote ni mashehe ubwabwa,wako under wahuni payroll.
 
Yani nchi hii mashehe wote ni mashehe ubwabwa,wako under wahuni payroll.

ACT Wazalendo, CCM, BAKWATA, UVCCM, UWT, WAZAZI, CHAUMMA na vyama vingine vidogo rafiki wa chama dola kongwe tawala.
 
Back
Top Bottom