Ommy dimpoz punguza starehe, unaboa...

Ommy dimpoz punguza starehe, unaboa...

Mbona kazungukwa na waarabu?!

Alafu mbona kama amekaa upande upande?!
 
Usimpangieeee[emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445]
Weeeeeeweeeeee
 
Ommy sio pesa yake labda kwa msiomjua unadhani domo aliropoka kusema jamaa wanamla nyuma , mbona hakubisha akaja kuongea kwa kuomba huruma ya wananchi. Tunamjua ommy hana guts hizo kamwe.
Sio pesa zake???? Sasa iyo kazi unayosema anaifanya ulitaka ulipwe wewe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom