Ommy dimpoz punguza starehe, unaboa...

Ila akiumwa au akipata matatizo ndo tunatakiwa kumpangia c ndio? We nae nilikuq nakuheshimu kumbe hujielewi, pita hvi, nisiwaonee wivu qkinq domo wanafanya Kazi nimuonee huyo kahaba wa kike
Mim ntaendelea kukuheshimu shilawadu mwenzangu ila ukikosea kubali kurekebishwa poa mzee mwenzangu
 
340919646f5dc90d36bc28a1ef2a89e3.jpg


Udaku special thanks for shout out, nilitaman nicomment kwa insta aaaah aaah, nakupenda mbea mwenzangu, miaka miaa
 
Kusafiri sio raha jamani kukaa kwenye flight masaa 8 . Isitoshe mmanyema huyu ni mwanamuziki. Wabongo hata gari mtaita starehe wakati ni kitendea kazi
 
Yani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo show off waachie akina Wolper na wema ,mbona wenzio akina diamond hawana huo upuuzi, wenzio wakisafiri kikazi kama bata sio kama unavyoendekeza wewe, hata kama unalipiwa bhana, unaboa sana, mxiew
13c90de0345538dc4b0d139064895cd4.jpg
ahaaaa binadamu shida kweli ujue huwa sipendi kucommet lakin kwa ili ngoja niongee.
Wew ndo unamatatizo try to live ur life blood don't be bothere' by someone doing.
 
ahaaaa binadamu shida kweli ujue huwa sipendi kucommet lakin kwa ili ngoja niongee.
Wew ndo unamatatizo try to live ur life blood don't be bothere' by someone doing.
Kama wewe hupendi kufuatilia maisha yatu humu umefuata nn, binamu nae mbea mmmh!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom