Huyo Ommy ni nani? Muigizaji wa filamu au Mwanamuziki?
Wanajuana haoooo,sijawah sikia wala ona mtu aloandikwa na shigongo akienda mahakaman,,,,,
mwanamuziki na kwenye kili music awards alipata tuzo 3 mwaka huu.
Okey sasa nimepata sababu ya yeye kuandikwa kwenye Gazeti.
Hizo tuzo zimeshapoteza maana, mtu mwenye nyimbo tatu tu na tuzo 3!? Hapana tunadanganyana.mwanamuziki na kwenye kili music awards alipata tuzo 3 mwaka huu.
Wanajuana haoooo,sijawah sikia wala ona mtu aloandikwa na shigongo akienda mahakaman,,,,,