Ombi: tigo, voda na makampuni mengine

Ombi: tigo, voda na makampuni mengine

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
21,854
Reaction score
26,092
Ndg zetu wenye makampuni husika tunawaomba mpunguze viwango au gharama mtutozazo ktk huduma za tigo pesa voda pesa,ili ziweze kuwa kama huduma na msaada zaidi kwa jamii nzima.

Ikumbukwe kwa mtumiaji wa mitandao ya simu ni ngumu kuzikwetpa! kwa maisha haya!kinachouzi zaidi ukitoa pesa juu ya 5elfu unakatwa 750/chini ya 5elfu unakatwa 600,kweli ktk viwango hivi ni kumsaidia mtanzania wa kawaida?/TUNAOMBA MAMLAKA HUSIKA ZIPITIE UPYA SUALA HILI KWA JICHO LA KARIBU
 
ni kweli ipo haja ya makampuni kutafakari upya juu ya viwango vyao!
 
hasa voda aisee..

kwa uelewa wangu...!
hawa jamaa hawajipangii, ni BOT ndo wanawapangaia, na nafikir serikal inafanya hivo kama sehemu ya kujiongezea kipato lakn pia kuwadiscourage watumiaji wa hizo njia ili watu warud kwenye mabenk,

ndo maana unakuta viwango vinaongezeka daily, lakn na watumiaji wanaongezeka pia
 
Makato makubwa sana kumkata mtu 1500 kwa kuchukua 30000 ni wizi wa mchana

TCRA
 
Last edited by a moderator:
Makampuni ya simu Tanzania yahagharama kubwa sana. Inasikitisha sana, na hakuna wa kututetea zaidi ya kulalamika bila mafanikio yeyote.
 
Waache wizi bana bora turudi benki
tatizo la benk hawako flexible mpk vichochoroni mf mtu amekwama ghafla stand iringa utampatiaje nauli haraka na akaunt yako ipo barckley?ni kweli mpesa na tigo zina nafasi ya kipekee ktk jamii kwa kweli viwango vyao virekebishwe!
 
Serekali yetu nayo inachangia gharama hizi kuwa kubwa... mpangilio wa kodi shidaaa!
 
Back
Top Bottom