shangwe shangwe
Senior Member
- Oct 17, 2012
- 108
- 24
Napenda kuwa kumbusha na kuwaomba HESLB kuwa mnapoendelea kufanya hiyo kazi yenu nzuri ya ku allocate mikopo kwa first year MSITUSAHAU NASI CONTINUING STUDENTS kwani nasi pia tuliwasilisha maombi ya mkopo kama wengine. Mungu awabariki! (continuing wote mlioomba plz coment hapa ili tukumbukwe)