johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,528
Sisi wanaccm wa mabibo tunamwomba katibu mkuu Kinana amuongeze Mkapa kwenye timu ya kampeni. Baada ya uzinduzi wa jana tumemwona ni yeye pekee anayeweza kuvaa viatu vya Nyerere na kukirudisha chama kwenye mstari. Nawasilisha!