Ombi langu kwa mheshimiwa Chenge

Ombi langu kwa mheshimiwa Chenge

Joined
Jul 25, 2013
Posts
12
Reaction score
0
Kama alivyodai kuwa alifanya utafiti na kujilidhisha kwamba tozo la shilshiling 1000 hata mwananchi wa hali ya chini anaweza kumudu kuilipa kwa kila mwezi, tunaomba aweke hadhalani wapi alifanya utafiti huo na wadau mbalimbali walioshiriki isiwe anatuuzia mbuzi kwenye gunia.

Ila kama ni propaganda kama walivozoea maamuzi haya yataitafuna serikali na chama chao CCM kwa wananchi wanaoishi chini ya dollar moja. Naishauri serikakli ikae chini ifanye uamuzi wa busara kwa wananchi.
 
Naomba kuuliza; hivi huyu jamaa ndo alimwaga unga unga uliodhaniwa ni wa kichawi ndani ya ukumbi wa bunge?
 
Kama alivyodai kuwa alifanya utafiti na kujilidhisha kwamba tozo la shilshiling 1000 hata mwananchi wa hali ya chini anaweza kumudu kuilipa kwa kila mwezi, tunaomba aweke hadhalani wapi alifanya utafiti huo na wadau mbalimbali walioshiriki isiwe anatuuzia mbuzi kwenye gunia.

Ila kama ni propaganda kama walivozoea maamuzi haya yataitafuna serikali na chama chao CCM kwa wananchi wanaoishi chini ya dollar moja. Naishauri serikakli ikae chini ifanye uamuzi wa busara kwa wananchi.

uyo chenge ni nani, mpaka aombwe kwenye mambo yenye maslahi kwa taifa,ivi chenge ndie mwenye kuendesha nchi hii.

mwisho wao 2015,ndio maana wanabuni vijikodi visivyonamaana ili kufanya ufisadi wa lala salama,wameshaona dalili 2015 hachomoki mtu vyema wakakusanya za mwishomwisho.
 
Back
Top Bottom