mhina ntwina aya
New Member
- Jan 25, 2019
- 2
- 1
Kiukweli app hii kwa mara ya kwanza nili ifuta baada ya kuna haina faida katika simu yangu, lakini sikujua kumbe inafaida kiasi hiki kwa sasa nimeamua kujiunga lasmi kwa moyo wangu bila kushawishiwa na mtu, natumaini ombi langu lita kubaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app