Nimeona leo TBC ikionyesha Rais Magufuli akiwa bandarini ambako kuna uozo mkubwa sana. Mimi ni mwanasheria ambaye pia ni mtaaam wa sheria za kodi.
TRA ni jipu kubwa sana. Hayo 'magari hewa' ambayo mmiliki hajulikani, na yamefichwa; wahusika wa kubwa ni watumishi wa TRA.
Madili hayo kisheria TRA wanajua na ilivyo lazima walihusika na wanaendelea kuhusika katika ujinga, upumbavu na ufisadi huo.
Hata boss wao ulipoulizwa maswali ya kisheria(cross examination) na Rais Magufuli, ameshindwa kabisa kuyajibu.
Kimsingi amejibu pumba tupu. Kama mtu ambaye hajasoma kabisa. Eti anaongelea kikosi kazi. Why now?
TRA inatakiwa iongozwe na mtu makini na jasiri. Kwa maoni yangu Dr. Slaa Wilbroad angeinyoosha TRA in two weeks. Otherwise Rais Magufuli umetukonga nyoyo sana kwa ujasiri wako huo.
TRA ni jipu kubwa sana. Hayo 'magari hewa' ambayo mmiliki hajulikani, na yamefichwa; wahusika wa kubwa ni watumishi wa TRA.
Madili hayo kisheria TRA wanajua na ilivyo lazima walihusika na wanaendelea kuhusika katika ujinga, upumbavu na ufisadi huo.
Hata boss wao ulipoulizwa maswali ya kisheria(cross examination) na Rais Magufuli, ameshindwa kabisa kuyajibu.
Kimsingi amejibu pumba tupu. Kama mtu ambaye hajasoma kabisa. Eti anaongelea kikosi kazi. Why now?
TRA inatakiwa iongozwe na mtu makini na jasiri. Kwa maoni yangu Dr. Slaa Wilbroad angeinyoosha TRA in two weeks. Otherwise Rais Magufuli umetukonga nyoyo sana kwa ujasiri wako huo.