Ombi la kazi/ kibarua

Ombi la kazi/ kibarua

Amka asubuhi nenda mikocheni, kule kwenye mgahawa wa golden fork.

sisitiza una hitaji kumuona jabir (ni mnene), ukimpata jieleze vizuri atakupa mchongo na utaishi vyema.
Mzee baba fafanua vizuri nimpe ramani kijana wangu. Ni mchongo gani, unatakiwa kufika ukiwa na nini n.k
 
Salaam za heshima,
Natumaini ujumbe huu unawafikia mkiwa salama.

Mimi ni kijana wa kiume, mwenye umri wa miaka 26, ninaishi Mbagara Kuu. Elimu yangu ni kidato cha nne.

Naomba kazi au kibarua chochote halali kinachopatikana, kama vile:

Kuuza dukani

Uwinga

Kufanya usafi kwenye ofisi au maeneo mbalimbali

Kazi yoyote ya mikono iliyo halali


Niko tayari kufanya kazi kwa bidii, uaminifu na kujituma bila kuchagua kazi.

Hitimisho:
Naomba tusaidiane kwa sababu hali ya maisha ni ngumu sana mtaani, hasa sisi vijana wasio na kazi au kibarua chochote, tunapitia changamoto kubwa na wakati mwingine kudharaulika. Msaada wowote au taarifa ya kazi nitashukuru sana.
Platinum Credit Limited ni kampuni inayotoa mikopo kwa Watumishi wa Umma, wafanyabiashara na wafanyakazi kampuni binafsi.

Wanaahitajika Mawakala wa Mauzo mkoa wa Dar es salaam

SIFA ZA MUOMBAJI:
  • Awe na elimu kuanzia kidato cha nne
  • Mwenye utayari wa kujifunza
  • Uzoefu wa kazi za mauzo na masoko
  • Awe mwaminifu na mwenye kujitambua
  • Umri usiopungua miaka 20

MAOMBI:
Muombaji atume nakala ya wasifu (CV) Kupitia njia zifuatazo
Email: ally.kafuku.platinum@gmail.com
Whatsapp: 0757962335
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom