Kwa mtazamo wangu kwenye kundi la ukawa hakuna kiongozi ambaye anakubalika na anamvuto kwa wananchi kuwa rais. Tafuteni mtu anae kubalika, ukweli mimi ni ccm ila kwa mapigo haya kuna jambo lazima watz tuwefanye. Angalia hapa bandari watu wamepiga pesa, tpdc wamepiga pesa,nida wamepiga pesa,escrow wamepiga pesa,bima ya afya wamepiga pesa,rais,pm wanapiga pesa safari kucha nje mahospitali hakuna dawa. Jk yote haya huyajui?.