Ndugu mpendwa Mteja wetuFanyeni utaratibu tuweze kununua umeme kama vocha za simu na kuingia moja kwa moja kwenye mita.kwa kuwa mita namba inaelekea hili inawezekana kabisa enzi hizi za digital
Kufanya vidogo vya kawaida kama kukuungia umeme au kutoa taarifa kuwa watakukatia umeme hawa jamaa wana struggle,alafu unategemea waanzishe system sensitive kama hiyo.Sababu itabidi wabadirishe mifumo yao mingi,has meter itabidi mwekewe 'smart' meter,ndo hicho unachokitaka kitawezekana,personally i don't see this happening anywhere near future.I hope am wrong.Fanyeni utaratibu tuweze kununua umeme kama vocha za simu na kuingia moja kwa moja kwenye mita.kwa kuwa mita namba inaelekea hili inawezekana kabisa enzi hizi za digital
Uko sahihi. Bila smart meter tusahauKufanya vidogo vya kawaida kama kukuungia umeme au kutoa taarifa kuwa watakukatia umeme hawa jamaa wana struggle,alafu unategemea waanzishe system sensitive kama hiyo.Sababu itabidi wabadirishe mifumo yao mingi,has meter itabidi mwekewe 'smart' meter,ndo hicho unachokitaka kitawezekana,personally i don't see this happening anywhere near future.I hope am wrong.