Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Ni wazi kuwa Tanganyika hawapo serious au wan upeo mdogo sana kwenye kukabiliana na majanga.
Hapa najiuliza waliwezaje kumpiga Idd Amini?
Inabidi muelewe kuwa Idi Amini ? Inawezekana Tanganyika ili play part ndogo sana.
Tatizo sio wanajeshi ila Tatizo ni viongozi na maandalizi ndio kila kitu.
Kwa kusema hayo Rais Shein nakuomba uwasiliane ma Imf na Wb uwape breakdown zako na mahitaji yako jinsi utakavyokabiliana na janga hili na jinsi utakavyo wasaidia wananchi wa ngazi ya chini.
Huku Tanganyika wakubwa wamejificha na mpaka sasa hivi hawatoi data tena. Sio kwamba hakuna maambukizi la hasa. Wameamua kuwa #WAKAIDI.
Angalia maisha ya kisiwani mnajitahidi sana tangia siku ya kwanza na case zote mnazitangaza. Mmeonyesha akili kubw tangia mwanzo na hakika hata sekta ya utalii itapanda hapo mbeleni kwa sababu hamjaficha kitu kama huko Tanganyika.
Kitakachowapata Tanganyika ni kutenga na mataifa mengine kam walivyo sababisha tukanyimwa green card.
Tafadhali sana Rais wetu Shein we trust you na utatuvisha.
Na huu ndio mwanzo wa kuvunja huu Muungano batili kwa sababu watanganyika ni low minded Na incompetence.
Kila mtu anaona.
Asante haya ni mawazo yangu na sio msimamo wa JF
Hapa najiuliza waliwezaje kumpiga Idd Amini?
Inabidi muelewe kuwa Idi Amini ? Inawezekana Tanganyika ili play part ndogo sana.
Tatizo sio wanajeshi ila Tatizo ni viongozi na maandalizi ndio kila kitu.
Kwa kusema hayo Rais Shein nakuomba uwasiliane ma Imf na Wb uwape breakdown zako na mahitaji yako jinsi utakavyokabiliana na janga hili na jinsi utakavyo wasaidia wananchi wa ngazi ya chini.
Huku Tanganyika wakubwa wamejificha na mpaka sasa hivi hawatoi data tena. Sio kwamba hakuna maambukizi la hasa. Wameamua kuwa #WAKAIDI.
Angalia maisha ya kisiwani mnajitahidi sana tangia siku ya kwanza na case zote mnazitangaza. Mmeonyesha akili kubw tangia mwanzo na hakika hata sekta ya utalii itapanda hapo mbeleni kwa sababu hamjaficha kitu kama huko Tanganyika.
Kitakachowapata Tanganyika ni kutenga na mataifa mengine kam walivyo sababisha tukanyimwa green card.
Tafadhali sana Rais wetu Shein we trust you na utatuvisha.
Na huu ndio mwanzo wa kuvunja huu Muungano batili kwa sababu watanganyika ni low minded Na incompetence.
Kila mtu anaona.
Asante haya ni mawazo yangu na sio msimamo wa JF