Ombi kwa Padre Charles Kitima

Ombi kwa Padre Charles Kitima

..viongozi wa dini waingie barabarani kushinikiza mabadiliko ya katiba.
 
Mbona kina ChoiceVariable na chiembe wanasema ni huyu huyu?!
Huyo anastaafu rasmi 2025. CCM haiwezi kufanya kosa la kuleta mgombea asiyekubalika. Pia fomu za ugombea urais CCM zitakuwa nyingi kama katiba inavyoruhusu wote wenye sifa kuomba na kuingia kwenye mchujo kumpata mmoja mwenye sifa zaidi.
 
Back
Top Bottom