Ombi kwa Mohammed Said

Ombi kwa Mohammed Said

Nakuomba uandike salua ya al marhoom Joseph Kasela Bhantu,ili watanzania wamfahamu huyu mwamba
Kwani huyo alikuwa ndugu katika imaan?!
Mwenzako anaandika historia ya watu wa dini( ili apate swawabu) na pia anaandika ya vinasaba wake wa kariakoo na gerezani.
 
Kwani huyo alikuwa ndugu katika imaan?!
Mwenzako anaandika historia ya watu wa dini( ili apate swawabu) na pia anaandika ya vinasaba wake wa kariakoo na gerezani.
wewe humjui mohammed said mie namfahamu kwa miaka 39 iliyopita
 
Inahusiana nini na nilichoandika ?!
ulivyosema kuwa huyo jamaa huwa haandiki watu wa dini fulani ndio nami nakwambia namfahamu kuwa ulivyosema sivyo kwani namjua vizuri huyo jamaa kuliko wewe
 
Back
Top Bottom