Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,055
- 10,337
Dah... Ni kweli hii club ilikuwa na uwezo wa kushawishi nani awe nani katika nafasi za Kisiasa katika nchi hii?Rohombaya,
Lengo la Dar es Salaam Saigon Club ni kujenga na kudumisha udugu.
Dah... Ni kweli hii club ilikuwa na uwezo wa kushawishi nani awe nani katika nafasi za Kisiasa katika nchi hii?Rohombaya,
Lengo la Dar es Salaam Saigon Club ni kujenga na kudumisha udugu.
Rohombaya,Dah... Ni kweli hii club ilikuwa na uwezo wa kushawishi nani awe nani katika nafasi za Kisiasa katika nchi hii?
Kadoda,mzee Mohamed Said,ni ushawishi wa namna gani club ya Saigon ilichangia/inachangia/ktk kuleta mabadiliko ya kiuongozi wa nafasi mbalimbali za kisiasa nchini?
Asante,nimeisoma mzee.Kadoda,
Tafadhali soma post yangu ya hapo nyuma.
Watu wanakuza mambo tu bila sababu.
Kadoda,Asante,nimeisoma mzee.
Giuseppe,Katika watu ambao natamani kukutana nao ni huyu bwana Mohamed Said
Kuna raha unaposikiliza historia ya kweli ( sio zile za kuungwa ungwa za shuleni)
Walad,Mohammed Said Bajabir (marhem)
Member wa Saigoni
Kuna kipindi niliwahi comment kwenye mada moja humu kuwa, hazina tulizo nazo kama mzee Mohamed Said ndo zaondoka hivyo kutokana na umri, je mzee mmewekeza kiasi gani kwa kizazi hiki na kijacho kuhusu historia hii ya nchi yetu, historia ambayo haijatiwa chachu?Giuseppe,
Karibu sana mie sasa ni mstaafu na uzee ndiyo huu ushapiga hodi.
Mzee anaweza mambo mawili kwa uhakika.
Kulala na kupiga soga.
Na wengi ni mashabiki wa Majogoo? Au SunderlandMlaleo,
Hilo sina hakika ila ninachojua si watu wa kupenda siasa kwa kiwango
cha majadiliano lakini sidhani kama inavunjwa baraza kwa ajili ya siasa.
Nilichokuwa na uhakika nacho ni mazungumzo ya mpira yanapendwa
mno hata kwenye Dar es Salaam Saigon Group mazungumzo mengi ni
ligi ya Uingereza na Simba na Yanga.
Kila watu wana mila yao.
Ditto alikuwa Mwingi wa habari kuna story kaka yangu alinihadithia juu ya ujanja wake almanusura akamatwe ugoni jamaa aliruka ukuta huko mitaa ya kinondoni apumzike pemaMzuzuri alikuwa hawapendi watu wa mikoani,usemi wake mkubwa ni wamekuja mjini na gari la jicho mmoja(train)
Mzee Said napenda kujua kama Rage ni member wenu he Alhaji Ndolanga aliyewahi kuwa chairman wa Fat ni member pia? Na je kweli hawapatank na Rage?
Kiatu...Mzee Said napenda kujua kama Rage ni member wenu he Alhaji Ndolanga aliyewahi kuwa chairman wa Fat ni member pia? Na je kweli hawapatank na Rage?
Giuseppe,Kuna kipindi niliwahi comment kwenye mada moja humu kuwa, hazina tulizo nazo kama mzee Mohamed Said ndo zaondoka hivyo kutokana na umri, je mzee mmewekeza kiasi gani kwa kizazi hiki na kijacho kuhusu historia hii ya nchi yetu, historia ambayo haijatiwa chachu?
Ditto alikuwa Mwingi wa habari kuna story kaka yangu alinihadithia juu ya ujanja wake almanusura akamatwe ugoni jamaa aliruka ukuta huko mitaa ya kinondoni apumzike pema
Mzee Mohamed hata mimi napenda sana kusoma maandishi yako na ni kweli ni hazina ya Taifa letu hasa katika nyanja ya historia za uhuru ,historia za jij la Dar Es Salaam na wakazi wake,pia nilisoma kuhusu Marehemu mzee Abdu Jumbe,katika yote hayo kwa kuwa sisi ni binaadamu na hakuna mwanaadamu aliye mkamilifu ,mimi nakwazwa na kitu kimoja tu,nadhani umefika Utanzania na utaifa ukauweka mbele zaidi kuliko udini,kwani dini ni mambo ya kibinafsi na nchi yetu haina dini,pia kila mtu ana dini yake,ila tunapozungumzia mambo ya kitaifa basi udini tuuweke pembeni kwani hapo sio mahala pake.Ziaidi ya yote nakushukuru sana kwa michango yako murua na kwa kusimamia kila unachokiamini.Giuseppe,
Ilikuwa dua yangu kuwa Allah anijaalie niandike historia ya TANU.
Allah ameniwezesha Alhamdulilah.
Hili Allah kaiwezesha na nimeandika kitabu cha historia ya uhuru
wa Tanganyika nikipitia katika maisha ya Abdulwahid Sykes na
nilifanya hivi kwa makusudi ili kuondoa ile dhana kuwa TANU
iliundwa na Mwalimu Julius Nyerere dhana ambayo ilikuwa tayari
imeota mizizi katika historia rasmi ya Tanganyika.
Historia hii sasa imeshaifadhika na watu wanaisoma.
Nimefungua blog www.mohammedsaid.com ambamo nimeandika
kila jambo nililoona lina umuhimu katika historia ya nchi yetu.
Kiatu...
Tuzungumze mema ya maiti zetu kwani ikiwa umemzulia hawezi kujitetea.
binafsi huwa napenda sana kushiriki mijadala mbalimbali inayoendeshwa ktk vijiwe vya wazee mjini.Kadoda,
Ahsante watu wanajitisha bure.
Unajua katika hizi kawaida za taasisi kuna mambo wasomi wameyaona.
Taasisi ikiwa kubwa sana inafikia mahali hata wanachama na viongozi
wanakuwa hawajui nini kinafanyika katika taasisi yao.
Nadhani Saigon huko ndiko wanakoelekea.
Watu wanaamini ukitaka kushinda ubunge Kariakoo lazima uwepo
mkono wa Saigon.
Unataka uongozi TFF lazima Saigon watie mkono wao nk. nk.
Huenda upo ukweli katika hayo...
Kadoda...binafsi huwa napenda sana kushiriki mijadala mbalimbali inayoendeshwa ktk vijiwe vya wazee mjini.
miaka ya nyuma nilikuwa addicted na kile kijiwe cha shule ya Uhuru pembezoni mwa kilipo kituo kipya cha mabasi ya UDART.
nikitoka tu ktk shughuli zangu mida ya jioni,breki ya kwanza ilikuwa pale.tatizo la kijiwe,mijadala mingi ilikuwa inahusu dini na siasa kidogo.
nilivutiwa na nidhamu ya wachangia mada.utani wa maneno na ujengaji wa hoja vilikuwa vinaleta Raha sana kusikiliza.
najaribu kuvuta picha burudani waipatayo watu wanaotembelea kijiwe cha saigon.
mnaruhusu vijana wa kikazi hiki cha dijitali kuhudhuria mijadala yenu?