Mbao za Mawe JF-Expert Member May 11, 2015 23,373 54,755 Feb 19, 2020 #2 Kama bangi bado haijawa halali ila tunaona "kona goli" je ikihalalishwa si tutaona mengi makubwa na ya ajabu.
Kama bangi bado haijawa halali ila tunaona "kona goli" je ikihalalishwa si tutaona mengi makubwa na ya ajabu.
MzaramoTz JF-Expert Member Dec 13, 2017 1,829 2,986 Feb 19, 2020 Thread starter #3 Mbao za Mawe said: Kama bangi bado haijawa halali ila tunaona "kona goli" je ikihalalishwa si tutaona mengi makubwa na ya ajabu. Click to expand... Sipati picha bwana yule akiwa amelikamatia halafu picha mweku. 😀😀😀
Mbao za Mawe said: Kama bangi bado haijawa halali ila tunaona "kona goli" je ikihalalishwa si tutaona mengi makubwa na ya ajabu. Click to expand... Sipati picha bwana yule akiwa amelikamatia halafu picha mweku. 😀😀😀
Stephen Ngalya Chelu JF-Expert Member Oct 31, 2017 7,621 16,372 Feb 19, 2020 #4 Eti "King of the king" 😀😀😀😀😀😀 Huu uandishi utafanya hii kitu ichelewe kuhalalishwa. "Kuna wanaotaka freedom ya kula ndumu, na siwezi kuwalaumu" Freedom by Sugu.
Eti "King of the king" 😀😀😀😀😀😀 Huu uandishi utafanya hii kitu ichelewe kuhalalishwa. "Kuna wanaotaka freedom ya kula ndumu, na siwezi kuwalaumu" Freedom by Sugu.