basiri
Senior Member
- Aug 31, 2018
- 168
- 149
Kwanza nianze kwa kumpongeza mhe.rais kwa utaratibu wa kuweka vitambulisho kwa wajasiliamali walio na mtaji chini ya mil4 kwa mwaka ili nao wachangie mapato ya nchi
Mheshimiwa rais utaratibu uliopo ni mzuri lakini changamoto zake ni kubwa mhe.utagombana na watendaji wako bure kwa sababu hawa wajasiliamali waliopo katika masoko yetu tunawategemea sana ili kuendesha masoko yetu utaratibu tuliojiwekea uko hivi ;
●Kuna kiasi kidogo cha kuchangia usafi wa soko
●Kuna kiasi kidogo cha kuchangia ulinzi wa soko
Hayo hapo machache hapo juu ni mhimu sana na ukizingatia hiyo kodi kidogo ya soko haipatikani kupitia vitambulisho vya ujasiliamali
Ombi langu kuwekwe utaratibu ili hawa wajasiliamali wasisumbuane Na uongozi wa soko katika hiyo elfu 20/= ya kitambulisho kukatwe asilimia kidogo ili kuchangia kodi hizo kidogo za soko ambazo ni pamoja na usafi wa soko ,ulinzi wa soko
Elimu itolewe kwa wajasiliamali juu ya kuendeshaji wa masoko yetu yanategemea sana hizo kodi kidogo au wao wenyewe wajasiliamali wajipange kufanya usafi au ulinzi
Changamoto wajasiliamali hawana ushirikiano ili kutekeleza hayo kwa umoja wao
Mwisho
Elimu zaidi itolewe kwa wajasiliamali ili kuondoa migogoro na watumishi wako
Mheshimiwa rais utaratibu uliopo ni mzuri lakini changamoto zake ni kubwa mhe.utagombana na watendaji wako bure kwa sababu hawa wajasiliamali waliopo katika masoko yetu tunawategemea sana ili kuendesha masoko yetu utaratibu tuliojiwekea uko hivi ;
●Kuna kiasi kidogo cha kuchangia usafi wa soko
●Kuna kiasi kidogo cha kuchangia ulinzi wa soko
Hayo hapo machache hapo juu ni mhimu sana na ukizingatia hiyo kodi kidogo ya soko haipatikani kupitia vitambulisho vya ujasiliamali
Ombi langu kuwekwe utaratibu ili hawa wajasiliamali wasisumbuane Na uongozi wa soko katika hiyo elfu 20/= ya kitambulisho kukatwe asilimia kidogo ili kuchangia kodi hizo kidogo za soko ambazo ni pamoja na usafi wa soko ,ulinzi wa soko
Elimu itolewe kwa wajasiliamali juu ya kuendeshaji wa masoko yetu yanategemea sana hizo kodi kidogo au wao wenyewe wajasiliamali wajipange kufanya usafi au ulinzi
Changamoto wajasiliamali hawana ushirikiano ili kutekeleza hayo kwa umoja wao
Mwisho
Elimu zaidi itolewe kwa wajasiliamali ili kuondoa migogoro na watumishi wako