Ombi kwa ITV, tunaomba mdahalo urudiwe

Ombi kwa ITV, tunaomba mdahalo urudiwe

Dj-kobo

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2013
Posts
458
Reaction score
193
Wana jf, mlioangalia mdahalo uliofanyika leo mchana kupitia ITV mtakubaliana na mimi kuwa ulikuwa wa bora na wakizalendo. Si vibaya ukarudiwa kuonyeshwa tena yaani recorded kwa mafufaa ya wananchi wazalendo.
 
Mdahalo umekuwa wa kizalendo zaidi, warioba na wenzake wameonyesha uadilifu usio na mashaka kwa umma wa watanzania!
 
Hon Dr Mengi tafadhali urudiwe wengine tulikuwa makazini.
 
Naunga mkono mdahalo urudiwe. Tutumeni email kwenye ile email ya ITV
 
Urudiwe kama recorded na watoe cd tutazinunua kwa elf10
 
Naunga mkono hoja mdahalo urudiwe kwa maslahi mapana ya taifa,Dr Mengi please sir!
 
Back
Top Bottom