Mimi ni mwana Sombetini nina jambo nakuomba mheshimiwa diwani hebu fatilia hizi barabara zikamilike na zijengwe kwa viwango. Mfano ni hii barabara inayoelekea JKT Oljoro imekuwa ikichimbwa kila mara na ni kero kubwa kwetu watumiaji. Pia barabara ya Ngusero ikamilike ili kupunguza msongamano wa watumiaji waendao Kwa Mrombo na Olasiti. Kila la heri mheshimiwa diwani