Hata Mimi nilishangaa kuona tukio nyeti kama lile tunawekwa kwenye Hotel hapa Dsm.haikuwa poa. Pia kuhusu watu watakaoenda kufanya hiyo kazi isiwe kama ile ya 2015. Ambayo hata mtu humjui kama no Kamanda kisa tu amekuja na Lowasa Basi twende.Watafutwe Chaso wale wavyuo ili Wakae hata makundi 10, likikamatwa kundi hili Basi kundi lile linaendelea na kazi.Pia ni kheri wangefanyia kazi nje ya nchi Kama alivyosema mdau. Au huko Tunduru vijijini.
Hata hivyo Ccm nao Wana Communications center itakayokuwa inafanya kazi ya kuhesabu na kuhakiki kura zao. Hakuna ubaya safari hii.