Ombi kwa Azam TV

itakiamo

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
1,072
Reaction score
1,867
Habari, Ombi hili la Azam TV ni kwa sisi wapenda muziki, tunaomba mtuongezee channel ya Trace Naija.
Asante
 
Kuna ile trace mziki chanel ya kijinga sana

Kutwa kupiga manyimbo ya wakenya hovyo sana
 
Nyimbo zinarudiwa zilezile hata mwaka mzima.
Mpaka inakera
Manyimbo yenyewe hovyo sana ya wakenya mabaya na hayaeleweki za bongo watapiga moja then kumi Kenya na kumi Uganda

Chanel ni ya wakenya nini?
 
Ila dstv wapo vizuri,huwa nazikubali redio zao kila station ina aina yake special ya nyimbo unachagua tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…