Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,440
- 1,029
(OMBA OMBA):Jamani saidia baba saidia baba,naomba sh.100 (MPITA NJIA):Haya bwana,sh.100
hii hapa....lakini kwa nini umeniomba sh.100 tu,kwanini usiniombe sh.500,sh.2000 n.k (OMBA OMBA):Nimekuona tu,mwonekano wako,afya yako na mavazi yako,unaonekana mtu wa hali duni,hata hii sh.100 nashukuru kuipata kutoka kwako!
hii hapa....lakini kwa nini umeniomba sh.100 tu,kwanini usiniombe sh.500,sh.2000 n.k (OMBA OMBA):Nimekuona tu,mwonekano wako,afya yako na mavazi yako,unaonekana mtu wa hali duni,hata hii sh.100 nashukuru kuipata kutoka kwako!