bab aziziya
Member
- Jan 5, 2012
- 17
- 1
Uchaguzi uliopita an-kal wake mzee Makamba (mama yake Omari Kimbau na Yusuf Makamba ni ndugu) alijitahidi sana apate ubunge kwa mlango wa nyuma lakini wana Mafia walisema kuwa kamama CCM ya Makamba ikiamua kufanya hivyo wao watawapa jimbo CUF ikabidi jimbo apewe aliyekuwa mgiganaji wa waasi wa burundi bwana Shaha
Omari ametangaza wazi kuwa safari hii anarudi kuchukua jimbo la Mafia na atatumia kiasi chochote kile cha pesa kulichukua jimbo lake ambalo anaamini ni haki yake ili amalize kazi aliyoianza baba yake (Kanali Kimbau).
Omari anasema amesha shauriana na vijana wengi na wamemsihi afuate nyayo za akiana JJ Mnyika, Zitto Kabwe, January Makamba, Tindu Lissu, Jerry Silaaa na Halima Mdee kwa kuwa mmoja kati ya vijana wapya ambao wataliongoza hili taifa kwa ngwe nyingi zijazo.
Sasa tunajiuliza je Omari anayo nafasi ya kushinda jimbo la Mafia?
Kwa sisi ambao ni wanywaji tunauliza kwa sababu charity begins at home je kafungua branch ya BAA kama aliyofungua huku Dar inayoiwa MAFIA LOUNGE au Kisiwani Mafia hakuna wanywaji?
Omari ametangaza wazi kuwa safari hii anarudi kuchukua jimbo la Mafia na atatumia kiasi chochote kile cha pesa kulichukua jimbo lake ambalo anaamini ni haki yake ili amalize kazi aliyoianza baba yake (Kanali Kimbau).
Omari anasema amesha shauriana na vijana wengi na wamemsihi afuate nyayo za akiana JJ Mnyika, Zitto Kabwe, January Makamba, Tindu Lissu, Jerry Silaaa na Halima Mdee kwa kuwa mmoja kati ya vijana wapya ambao wataliongoza hili taifa kwa ngwe nyingi zijazo.
Sasa tunajiuliza je Omari anayo nafasi ya kushinda jimbo la Mafia?
Kwa sisi ambao ni wanywaji tunauliza kwa sababu charity begins at home je kafungua branch ya BAA kama aliyofungua huku Dar inayoiwa MAFIA LOUNGE au Kisiwani Mafia hakuna wanywaji?