Hivi kumuingiza mtu kwenye ulimwengu huo (Which is rather ridiculous, kwa sababu we ulikuwa unatafuta raha zako mwenyewe in the process), ndo unakuwa na claim kwake?
Ungechelewa mbona angekuja mwingine angemuingiza na kumuoa with you out of the picture?
Ndo maisha mkigombana mwingine anakubembelezea na anaonekana kidume