GE2025 Olesendeka: Kosa ambalo CCM haifanyi ni kumleta mgombea Urais ambae rekodi yake haijathibitika kuwa anaweza kuongoza Nchi hii

GE2025 Olesendeka: Kosa ambalo CCM haifanyi ni kumleta mgombea Urais ambae rekodi yake haijathibitika kuwa anaweza kuongoza Nchi hii

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
844
Reaction score
1,608
Aliyekuwa Mbunge wa Simanjiro na mwanasiasa mkongwe, Christopher Olesendeka, amesema wagombea wa Urais wa Tanzania kutoka vyama vya upinzani hawawezi kulinganishwa na mgombea wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Akizungumza katika kampeni za ubunge jimbo la Mbulu Mjini mkoani Manyara hivi karibuni, Olesendeka amesema wananchi wasifanye makosa ya “kuchezea shilingi chooni” kwa kuchagua wagombea wasiokuwa na uwezo.​
“Hii nchi iko salama kwa Samia, lakini ngoja niwaulize — Samia anashindanishwa na nani? CHAUMMA? Mnamjua huyo mgombea wa chama hicho? Amewahi hata kuwa diwani? Au ACT, au kitu kingine kinaitwa NRA, inajulikana kweli? Mimi nimekuwa Mbunge muwaambie hizo kata msichezee shilingi kwenye tundu la choo lakini nataka niwaambie upinzani hauwezi kushinda kama hakuna WanaCCM walionuna”, amesema Olesendeka. A

meongeza kuwa wagombea wote wanapaswa kuomba kura kwa unyenyekevu bila majivuno, na kwamba vijana wanaozungumzia siasa bila kuelewa historia, mila na misingi ya CCM hawana hoja za msingi. Olesendeka pia amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura, na kuchagua “kile kilicho bora” kwa mustakabali wa taifa.​
 
Aliyekuwa Mbunge wa Simanjiro na mwanasiasa mkongwe, Christopher Olesendeka, amesema wagombea wa Urais wa Tanzania kutoka vyama vya upinzani hawawezi kulinganishwa na mgombea wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Akizungumza katika kampeni za ubunge jimbo la Mbulu Mjini mkoani Manyara hivi karibuni, Olesendeka amesema wananchi wasifanye makosa ya “kuchezea shilingi chooni” kwa kuchagua wagombea wasiokuwa na uwezo.​
“Hii nchi iko salama kwa Samia, lakini ngoja niwaulize — Samia anashindanishwa na nani? CHAUMMA? Mnamjua huyo mgombea wa chama hicho? Amewahi hata kuwa diwani? Au ACT, au kitu kingine kinaitwa NRA, inajulikana kweli? Mimi nimekuwa Mbunge muwaambie hizo kata msichezee shilingi kwenye tundu la choo lakini nataka niwaambie upinzani hauwezi kushinda kama hakuna WanaCCM walionuna”, amesema Olesendeka. A

meongeza kuwa wagombea wote wanapaswa kuomba kura kwa unyenyekevu bila majivuno, na kwamba vijana wanaozungumzia siasa bila kuelewa historia, mila na misingi ya CCM hawana hoja za msingi. Olesendeka pia amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura, na kuchagua “kile kilicho bora” kwa mustakabali wa taifa.​
Aache kunywa wanzuki mchana!
 
Aliyekuwa Mbunge wa Simanjiro na mwanasiasa mkongwe, Christopher Olesendeka, amesema wagombea wa Urais wa Tanzania kutoka vyama vya upinzani hawawezi kulinganishwa na mgombea wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Akizungumza katika kampeni za ubunge jimbo la Mbulu Mjini mkoani Manyara hivi karibuni, Olesendeka amesema wananchi wasifanye makosa ya “kuchezea shilingi chooni” kwa kuchagua wagombea wasiokuwa na uwezo.​
“Hii nchi iko salama kwa Samia, lakini ngoja niwaulize — Samia anashindanishwa na nani? CHAUMMA? Mnamjua huyo mgombea wa chama hicho? Amewahi hata kuwa diwani? Au ACT, au kitu kingine kinaitwa NRA, inajulikana kweli? Mimi nimekuwa Mbunge muwaambie hizo kata msichezee shilingi kwenye tundu la choo lakini nataka niwaambie upinzani hauwezi kushinda kama hakuna WanaCCM walionuna”, amesema Olesendeka. A

meongeza kuwa wagombea wote wanapaswa kuomba kura kwa unyenyekevu bila majivuno, na kwamba vijana wanaozungumzia siasa bila kuelewa historia, mila na misingi ya CCM hawana hoja za msingi. Olesendeka pia amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura, na kuchagua “kile kilicho bora” kwa mustakabali wa taifa.​
Ni kauli ya kawaida toka kwa mwana CCM na sio vinginevyo!! Pinga uone utakavyo shughulikiwa.. "KIKAMILIFU"
 
Aache kunywa wanzuki mchana!
Mkuu mbona hamjaelmuelewa huyu Mzee??

Hamsomi maneno yake ??.

Wagombea wa Upinzani hawawezi shindanishwa na Samia( maana yake wapinzan waliopo ni Feki tú hawana maana).

Nchi ni salama Kwa Samia , kwamba Samia kwake yanayoendelea Nchini yoote ni Kwasababu ya manufaa yake Samia sio Wananchi.

Mnamfaham Mgombea wa CHAUMA? Hajawahi hata kushinda Udiwani...... Hapa Mzee Olesendeka anajaribu kuwaonyesha Wananchi kua Hamna Mgombea wa Urais kupitia Upinzani.

Wagombea wajinyekeze ..


Waelewe misingi, Mila na Historia...
 
Back
Top Bottom