MARCKO
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 2,258
- 274
Kwa wanaofahamu Arusha hata kijuujuu pale Sanawari mataa kona ya kushuka AICC, kupanda sanawari ya juu ni vumbi kwanzia mataa kupanda huko mpaka mwisho wa Barabara. Huyu jamaa haogopi hata kuzunguka hovyo kupiga 'vuvuzela' eti naibu waziri uchwara . TIA NYWELEZAKO MAJI!