Kweli inaumiza na inatesa, ila msamaha una faida kwako kuliko yule unayemsamehe,kwanini uishi na uchungu maisha yako yote?
Ukiwa na hasira hata huyo mtoto hutampenda....ulikosea kufanya mapenzi na mwanaume asiyekuwa na kiapo nawe,matunda ndo hayo....usimlaum yeye tu...unapaswa kujua ulipaswa kujilinda....Kukimbiwa/kuachwa na mwanaume aliyekupa mimba si mwisho wa maisha....tuna wanawake wengi tu mifano....ukianguka unasimama,unajipanga,unasonga mbele kwa umakini zaidi.