Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Ni kauli sahihi kabisa
Watu mnaotaka nchi iendeshwe kama nyimbo ya taarabu tafuteni mbinu nyingine
Hivi unashindwa kumuwajibisha mtu mkiwa wawili kwa staha mpaka uropoke barabarani???
Ni kauli sahihi kabisa
Watu mnaotaka nchi iendeshwe kama nyimbo ya taarabu tafuteni mbinu nyingine
Jana kwenye hotuba ya John Magufuli (rais wa Tanzania) alitumia kauli isiyo na weledi kutoka kwenye cheo alicho nacho kumueleza mtendaji wake ambaye ni mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Meck Sadick! "Nitakupatia hizo fedha na OLE WAKO UZITUMIE VIBAYA" kauli ya "Ole wako uzitumie vibaya" ingawa hamtasema wala kuongea ila kiukweli ilimfedhehesha sana Meck Sadick!
Kwanza Meck Sadick kiumri ni mtu mzima sana kwa Magufuli! Lakini pia ni aina ya watu ambao wamestaharabika! Ile kauli rais aliitoa kama anamueleza kijana mdogo na au mwanaye!
Pili haipendezi kuanza kujenga malengo hasi na inaonyesha kuwa kuna mashaka fulani!
Rai yangu kwa rais; emb ajifikirie kuwa yeye angekuwa ndiye Meck Sadick kwa kauli ile angeipokeaje? Ndiyo maana vyuo vinafundisha communication skills! Ile CL111 pale thietre za UDSM hiyo ndiyo kazi yake! Uongee lipi ukiwa wapi na kwa nani!
Hizi kauli za kutishana kabla hata kazi haijaanza kwa kweli hazijengi! Zinazaa uoga na kutokujiamini! Magufuli atazame mfano wa mawaziri wake walivyokwama! Hii ni kutokana na uoga aliowajengea!
Kuheshimiana na ustaarabu wa kiongoz mkuu kwa viongozi wa chini yake ni kitu muhimu, magu hawezi kuongoza peke yake
Jana kwenye hotuba ya John Magufuli (rais wa Tanzania) alitumia kauli isiyo na weledi kutoka kwenye cheo alicho nacho kumueleza mtendaji wake ambaye ni mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Meck Sadick! "Nitakupatia hizo fedha na OLE WAKO UZITUMIE VIBAYA" kauli ya "Ole wako uzitumie vibaya" ingawa hamtasema wala kuongea ila kiukweli ilimfedhehesha sana Meck Sadick!
Kwanza Meck Sadick kiumri ni mtu mzima sana kwa Magufuli! Lakini pia ni aina ya watu ambao wamestaharabika! Ile kauli rais aliitoa kama anamueleza kijana mdogo na au mwanaye!
Pili haipendezi kuanza kujenga malengo hasi na inaonyesha kuwa kuna mashaka fulani!
Rai yangu kwa rais; emb ajifikirie kuwa yeye angekuwa ndiye Meck Sadick kwa kauli ile angeipokeaje? Ndiyo maana vyuo vinafundisha communication skills! Ile CL111 pale thietre za UDSM hiyo ndiyo kazi yake! Uongee lipi ukiwa wapi na kwa nani!
Hizi kauli za kutishana kabla hata kazi haijaanza kwa kweli hazijengi! Zinazaa uoga na kutokujiamini! Magufuli atazame mfano wa mawaziri wake walivyokwama! Hii ni kutokana na uoga aliowajengea!
Kwahio kuambiwa 'ole wako uzitumie vibaya' ni kudhalilishwa na kutukanwa?
KWANI Umakini Na UKALI Ni KUPAYUKA Na Vitisho Tu!! VITENDO Vya Kiongozi Ndio Vinavyomtafsiri Ni Wa Aina Gani!! SIO Kupayuka Tu Hovyo!! MTAKATAA Hivi Sasa, Ila Muda Utafika Mtatafuta Machaka Ya Kuficha Sura Zenu!!! HII Nchi Imeoza Kinoma, Kutokana Na Mfumo Mbaya Wa Serikali Ya CCM! ABOMOE Mfumo Mzima, Sio Vitisho Tu!!! TOKEA Serikali Za Mitaa Na Magogoni Woote Baba Na Mama Mmoja Tu!!! JE, Hiyo Miaka 5 Atakuwa Anatisha Tu Watendaji Wake!!?So ulitaka ambembeleze sio... kama ailvyokuwa akifanya baba MwanaAsha...
kwa taarifa tu... siku zake kama mkuu wa mkoa wa Dar znahesabika.
Sawa kiongozi. Mtu hakatazwi kukosea!Sick =Stick
Tamko la "OLE wako" lina onyo ndaki yake.Badala ya kusema ole wako usitumie hizo pesa vibaya, angeweza kusema pesa itumike kwa matumizi yaliyokusudiwa. Ujumbe ni huo huo lakini ni namna ya kufikisha ujumbe kwa kutumia lugha tofauti.
Mimi sidhani kama kauli ililenga kumfedhehesha RC wa Dar. Zaidi ilikuwa inaakisi uozo uliopo katika matumizi ya fedha za serikali sehemu mbalimbali za nchi. Pamoja na yote hayo, JPM anayo nafasi ya kutumia lugha yenye staha zaidi bila kuathiri ujumbe wake kwa walengwa.
Mimi ni msukuma, baba yangu alivyokuwa anasoma canada Professor mmoja aliwahi mwambia ' I can get you out of the bush but I cannot get the bush out of you' magufuli ni msukuma typical....ubabe wa kisukuma...ni sawa na kuvaa suti na katambugaJana kwenye hotuba ya John Magufuli (rais wa Tanzania) alitumia kauli isiyo na weledi kutoka kwenye cheo alicho nacho kumueleza mtendaji wake ambaye ni mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Meck Sadick! "Nitakupatia hizo fedha na OLE WAKO UZITUMIE VIBAYA" kauli ya "Ole wako uzitumie vibaya" ingawa hamtasema wala kuongea ila kiukweli ilimfedhehesha sana Meck Sadick!
Kwanza Meck Sadick kiumri ni mtu mzima sana kwa Magufuli! Lakini pia ni aina ya watu ambao wamestaharabika! Ile kauli rais aliitoa kama anamueleza kijana mdogo na au mwanaye!
Pili haipendezi kuanza kujenga malengo hasi na inaonyesha kuwa kuna mashaka fulani!
Rai yangu kwa rais; emb ajifikirie kuwa yeye angekuwa ndiye Meck Sadick kwa kauli ile angeipokeaje? Ndiyo maana vyuo vinafundisha communication skills! Ile CL111 pale thietre za UDSM hiyo ndiyo kazi yake! Uongee lipi ukiwa wapi na kwa nani!
Hizi kauli za kutishana kabla hata kazi haijaanza kwa kweli hazijengi! Zinazaa uoga na kutokujiamini! Magufuli atazame mfano wa mawaziri wake walivyokwama! Hii ni kutokana na uoga aliowajengea!
Kwa kuwa hii ni habari, na kwa kuwa inaandikwa na watu, basi kila anayeandika habari ni mwandishi wa habari! Au unataka waandishi gani tena?Naona siku hizi watu wanakazi moja ktk hotuba ya Rais, ni kusikiliza neno kwa neno ili kuona Rais kakosea neno gani! Hivi karibuni yataanza hadi masahihisho ya spelling. Mngekuwa waandishi wa habari sipati picha hizo angle ambazo mngekuwa mnazipeleka news room!
That was a statement... Sikuona anamwajibisha mtu yoyote paleHivi unashindwa kumuwajibisha mtu mkiwa wawili kwa staha mpaka uropoke barabarani???