Ole wako ukioa! Biblia Takatifu imesema yote

Ole wako ukioa! Biblia Takatifu imesema yote

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
13,555
Reaction score
40,749
Mstari huu kutoka 1 Wakorintho 7:27-28 (New Century Version - NCV) unasomeka hivi:

"Kama hujaoa, usijaribu kutafuta mke. Lakini ukichagua kuoa, hujatenda dhambi. Na kama msichana ambaye hajawahi kuolewa ataamua kuolewa, hajafanya dhambi. Lakini wale wanaooa watakutana na matatizo katika maisha haya, nami nataka muepuke matatizo hayo."

1 Wakorintho 7:27-28 inashauri kuwa kama hujaoa, ni heri ubaki hivyo ili kuepuka matatizo ya maisha ya ndoa. Hata hivyo, inasema wazi kuwa kuoa si dhambi, lakini inakuonya kuwa ndoa ina changamoto zake.

Ni ujumbe unaozingatia hekima na kuchagua maisha yasiyo na migogoro, si katazo la moja kwa moja dhidi ya ndoa.
 
Bro!!! Kataa ndoa hata biblia inakushauri kukataa ndoa.

Umeanza kujipata pata, badala ya kukomaa kuwekeza kwenye biashara,

Nyege nazo zinakuambia kwa nini usiilete karibu, iwe halali, marafiki wa kweli unatuona fackini tu.

Wewe endelea kukaza shingo.
 
Mstari huu kutoka 1 Wakorintho 7:27-28 (New Century Version - NCV) unasomeka hivi:

"Kama hujaoa, usijaribu kutafuta mke. Lakini ukichagua kuoa, hujatenda dhambi. Na kama msichana ambaye hajawahi kuolewa ataamua kuolewa, hajafanya dhambi. Lakini wale wanaooa watakutana na matatizo katika maisha haya, nami nataka muepuke matatizo hayo."

1 Wakorintho 7:27-28 inashauri kuwa kama hujaoa, ni heri ubaki hivyo ili kuepuka matatizo ya maisha ya ndoa. Hata hivyo, inasema wazi kuwa kuoa si dhambi, lakini inakuonya kuwa ndoa ina changamoto zake.

Ni ujumbe unaozingatia hekima na kuchagua maisha yasiyo na migogoro, si katazo la moja kwa moja dhidi ya ndoa.
Kumbe Ukristo haushabikii Ndoa ya jinsia ya kike na ya kiume, sasa kama wanashauri kuto oa, wanashauri tutumia ndoa Za jinasia ipi? Kuna kutafakari kwa kina hapa, jamani masikurupuke.
 
Mstari huu kutoka 1 Wakorintho 7:27-28 (New Century Version - NCV) unasomeka hivi:

"Kama hujaoa, usijaribu kutafuta mke. Lakini ukichagua kuoa, hujatenda dhambi. Na kama msichana ambaye hajawahi kuolewa ataamua kuolewa, hajafanya dhambi. Lakini wale wanaooa watakutana na matatizo katika maisha haya, nami nataka muepuke matatizo hayo."

1 Wakorintho 7:27-28 inashauri kuwa kama hujaoa, ni heri ubaki hivyo ili kuepuka matatizo ya maisha ya ndoa. Hata hivyo, inasema wazi kuwa kuoa si dhambi, lakini inakuonya kuwa ndoa ina changamoto zake.

Ni ujumbe unaozingatia hekima na kuchagua maisha yasiyo na migogoro, si katazo la moja kwa moja dhidi ya ndoa.
Hiyo Biblia uliyotumia sio
 
Mstari huu kutoka 1 Wakorintho 7:27-28 (New Century Version - NCV) unasomeka hivi:

"Kama hujaoa, usijaribu kutafuta mke. Lakini ukichagua kuoa, hujatenda dhambi. Na kama msichana ambaye hajawahi kuolewa ataamua kuolewa, hajafanya dhambi. Lakini wale wanaooa watakutana na matatizo katika maisha haya, nami nataka muepuke matatizo hayo."

1 Wakorintho 7:27-28 inashauri kuwa kama hujaoa, ni heri ubaki hivyo ili kuepuka matatizo ya maisha ya ndoa. Hata hivyo, inasema wazi kuwa kuoa si dhambi, lakini inakuonya kuwa ndoa ina changamoto zake.

Ni ujumbe unaozingatia hekima na kuchagua maisha yasiyo na migogoro, si katazo la moja kwa moja dhidi ya ndoa.
Mleta mada utakuwa mtoto wa mitaani au wa nje ya ndoa
 
Mchungaji wangu wa mwanzo alifundisha fundisho hili na kudadavua kwa ndani mtatizo ya ndoa. Mwanzo mtapendana sana ila mkizoeana na kuchokana ni ngumi kwa kwenda mbele. Mchungaji mwingine naye alisema kama maisha yanarudi nyuma basi hatakuwa na mpango wa kuoa ili kuepuka changamoto za kindoa
 
Usiingie kwenye ndoa sababu ya ngono wala urembo wa mwenzako utakufa kabla hujafa.
Usiingie kwenye ndoa kwa kudai utavumilia
 
Back
Top Bottom