Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyekuwa Mbunge Wa Simanjiro mkoani Manyara Bw. Christophar Ole Sendeka amewataka wanasiasa wa vyama mbalimbali vya siasa ambao hawakupata nafasi za kuteuliwa kugombea nafasi za Urais ubunge na udiwani kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarahe 29 mwezi Oktoba mwaka huu kuacha kutumia vibaya mitandao ya kijamii huku akivitaka vyama hivyo wa Kitaifa uliowekwa na wasisi wa Taifa la Tanzania kwa ujumla.