GE2025 Ole Sendeka: Wafanyabiashara waliokosa zabuni Serikalini ndio wanaofadhili vijana na Vyombo vya Habari kuichafua Serikali

GE2025 Ole Sendeka: Wafanyabiashara waliokosa zabuni Serikalini ndio wanaofadhili vijana na Vyombo vya Habari kuichafua Serikali

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Aliyekuwa Mbunge wa Simanjiro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Christopher Ole Sendeka, amewataka Watanzania kuwapuuza watu wanaoeneza propaganda dhidi ya Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, akidai kuwa wengi wao ni wafanyabiashara waliokosa zabuni za Serikali.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumapili, Oktoba 12, 2025 jijini Arusha, Sendeka amesema baadhi ya wafanyabiashara waliokuwa wakipata zabuni za kuendesha miradi ya Serikali kwa muda mrefu, hivi karibuni wamezikosa kulingana na sheria za manunuzi wamekuwa wakifadhili makundi ya vijana, vyombo vya habari visivyojiheshimu na wanaharakati wa nje ya nchi ili kuharibu taswira ya Serikali na ya chama tawala.

Amesema tabia hiyo imekuwa ikienezwa pia na baadhi ya wanachama wa CCM waliokosa uteuzi wa kugombea nafasi mbalimbali, ambao sasa wamegeuka kuendesha kampeni za kuwachafua walioteuliwa kupitia mitandao ya kijamii na majukwaa ya habari.

 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Aliyekuwa Mbunge wa Simanjiro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Christopher Ole Sendeka, amewataka Watanzania kuwapuuza watu wanaoeneza propaganda dhidi ya Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, akidai kuwa wengi wao ni wafanyabiashara waliokosa zabuni za Serikali.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumapili, Oktoba 12, 2025 jijini Arusha, Sendeka amesema baadhi ya wafanyabiashara waliokuwa wakipata zabuni za kuendesha miradi ya Serikali kwa muda mrefu, hivi karibuni wamezikosa kulingana na sheria za manunuzi wamekuwa wakifadhili makundi ya vijana, vyombo vya habari visivyojiheshimu na wanaharakati wa nje ya nchi ili kuharibu taswira ya Serikali na ya chama tawala.

Amesema tabia hiyo imekuwa ikienezwa pia na baadhi ya wanachama wa CCM waliokosa uteuzi wa kugombea nafasi mbalimbali, ambao sasa wamegeuka kuendesha kampeni za kuwachafua walioteuliwa kupitia mitandao ya kijamii na majukwaa ya habari.

Vipi wawaache hivi hivi wakati zote mnapeana wachache kwa uchache wenu
 
Back
Top Bottom