GE2025 Ole Sendeka: Utekaji ni jambo la ovyo, na tunapaswa kufahamu ni nani anafanya hivi

GE2025 Ole Sendeka: Utekaji ni jambo la ovyo, na tunapaswa kufahamu ni nani anafanya hivi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Mwanasiasa mkongwe na mbunge mstaafu wa jimbo la Simanjiro Christopher Ole Sendeka amesema kuwa chama cha mapinduzi hakiungi mkono mwenendo wa matukio ya utekaji yanayoripotiwa katika maeneo mbalimbali nchini.

Sendeka ameyasema hayo wakati akizunguma katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika mkoani Arusha ambapo ameeleza kuwa matukio hayo yamekuwa yakirudisha nyuma ustawi wa amani na uhuru nchini.

"Kwanza utekaji ni jambo la hovyo, lifanywe na mtu binafsi, kundi watu, lifanywe na serikali ama lifanywe na mtu yoyote yule ni jambo la hovyo lisilozingatia misingi ya Utu. Hatukubaliani na utekaji wa aina yoyote, rai yangu kila mwnanchi aliye na habari kwamba kuna raia ametekwa na anamuhisi aliyemteka ni fulani ni vizuri watu wawe na ujasiri shida yetu wakati mwengine tunakuwa waoga, ni lazima ukubali kutoa gharama ya kutoa ushirikiano kwa vyombo ili huyo muhalifu aweze kukamatwa" amesisitiza Sendeka.
 
Kama huhusiki na hukemei tafsiri yake ni nini?
 
Anaogopa kufa jitu limeshakura chumvi bado linakuwa nges
 
Mwanasiasa mkongwe na mbunge mstaafu wa jimbo la Simanjiro Christopher Ole Sendeka amesema kuwa chama cha mapinduzi hakiungi mkono mwenendo wa matukio ya utekaji yanayoripotiwa katika maeneo mbalimbali nchini.

Sendeka ameyasema hayo wakati akizunguma katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika mkoani Arusha ambapo ameeleza kuwa matukio hayo yamekuwa yakirudisha nyuma ustawi wa amani na uhuru nchini.

"Kwanza utekaji ni jambo la hovyo, lifanywe na mtu binafsi, kundi watu, lifanywe na serikali ama lifanywe na mtu yoyote yule ni jambo la hovyo lisilozingatia misingi ya Utu. Hatukubaliani na utekaji wa aina yoyote, rai yangu kila mwnanchi aliye na habari kwamba kuna raia ametekwa na anamuhisi aliyemteka ni fulani ni vizuri watu wawe na ujasiri shida yetu wakati mwengine tunakuwa waoga, ni lazima ukubali kutoa gharama ya kutoa ushirikiano kwa vyombo ili huyo muhalifu aweze kukamatwa" amesisitiza Sendeka.
"Kauli yake hiyo tunaichunguza imezua taharuki"
FB_IMG_1760267687287.jpg
 
Bongo country CCM inalamikia watekaji Serikali yake inalalamikia watekaji vyama vya upinzani vilalamikia watekaji wananchi wanalalamikia watekaji.daah! Sasa nani mtekaji?
Inawezekana wanajiteka 🤔🤔🤔
 
Hili zee sasa hivi wataliteka, uzuri simba kahamia zizini kwao..!!
 
Inawezekana wanajiteka 🤔🤔🤔
Ndivyo walivyokuwa wakisema akina Polepole wakati wa awamu ya tano.lakini ukimsikiliza Sativa ambae aliponea chupuchupu kuuwawa na kuja kuhadithia ni wazi kuwa kuna utekaji wa wanasiasa na wanaharakati.
 
Mwanasiasa mkongwe na mbunge mstaafu wa jimbo la Simanjiro Christopher Ole Sendeka amesema kuwa chama cha mapinduzi hakiungi mkono mwenendo wa matukio ya utekaji yanayoripotiwa katika maeneo mbalimbali nchini.

Sendeka ameyasema hayo wakati akizunguma katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika mkoani Arusha ambapo ameeleza kuwa matukio hayo yamekuwa yakirudisha nyuma ustawi wa amani na uhuru nchini.

"Kwanza utekaji ni jambo la hovyo, lifanywe na mtu binafsi, kundi watu, lifanywe na serikali ama lifanywe na mtu yoyote yule ni jambo la hovyo lisilozingatia misingi ya Utu. Hatukubaliani na utekaji wa aina yoyote, rai yangu kila mwnanchi aliye na habari kwamba kuna raia ametekwa na anamuhisi aliyemteka ni fulani ni vizuri watu wawe na ujasiri shida yetu wakati mwengine tunakuwa waoga, ni lazima ukubali kutoa gharama ya kutoa ushirikiano kwa vyombo ili huyo muhalifu aweze kukamatwa" amesisitiza Sendeka.
Mungu ambariki sana Ole Sendeka,kwa kuwa mkweli daima!。Mimi huwa najisikia guilty nikijihisi ni hii interview yangu na Ole Sendeka,imemponza

View: https://youtu.be/BVLh8ae4m5o?si=Mke7G7W0xkSqI6nr

P
 
Nlichogundua kwa mujibu wa wadau mbalimbali "wananchi wanajiteka wenyewe."
 
Kwan9 kiongozi wao
Mwanasiasa mkongwe na mbunge mstaafu wa jimbo la Simanjiro Christopher Ole Sendeka amesema kuwa chama cha mapinduzi hakiungi mkono mwenendo wa matukio ya utekaji yanayoripotiwa katika maeneo mbalimbali nchini.

Sendeka ameyasema hayo wakati akizunguma katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika mkoani Arusha ambapo ameeleza kuwa matukio hayo yamekuwa yakirudisha nyuma ustawi wa amani na uhuru nchini.

"Kwanza utekaji ni jambo la hovyo, lifanywe na mtu binafsi, kundi watu, lifanywe na serikali ama lifanywe na mtu yoyote yule ni jambo la hovyo lisilozingatia misingi ya Utu. Hatukubaliani na utekaji wa aina yoyote, rai yangu kila mwnanchi aliye na habari kwamba kuna raia ametekwa na anamuhisi aliyemteka ni fulani ni vizuri watu wawe na ujasiri shida yetu wakati mwengine tunakuwa waoga, ni lazima ukubali kutoa gharama ya kutoa ushirikiano kwa vyombo ili huyo muhalifu aweze kukamatwa" amesisitiza Sendeka.
Kwani Rostam Aziz ajulikani ...sera za kuteka na kuua muasisi ni Rostam azizi na mdogo wake na genge lake, ndiyo kazi panda hixo sera kwa sa100
 
Back
Top Bottom