si wajiuzuru kabisa na huo ubunge ndo ntajua wako serious sio kukaba nafasi tu bila kufanya kazi, vinginevyo ni abuse of power. kuchagua wapinzani very risk katika kuwakilishwa.
si wajiuzuru kabisa na huo ubunge ndo ntajua wako serious sio kukaba nafasi tu bila kufanya kazi, vinginevyo ni abuse of power. kuchagua wapinzani very risk katika kuwakilishwa.
hizi ni siasa za kiushindani kaka, kama walitarajia thing to go on their way wali forecast vibaya. toka vyama vingi vianze hakuna session zilikuwaga fair.
Hili ndilo tatizo la kuwa na walio kosa elimu kupewa uongozi. Kwan UKAWA wamesusia vikao vya bunge au wana mgogoro na naibu spika? Acheni kuhamisha mada.
nikifuatilia matukio naona uhusiano wa karibu kati ya katazo la polisi kwa vyama vya siasa na tamko la sendeka la kujibu mapigo ya ukawa, huu ushauri ni mwendelezo tu .....................