mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Wacha1 😂😂😂😂View attachment 1609012
View attachment 1609013
Huyo mlevi wa konyagi ndio kawafikishi hapo hatari kweli kweli.
Wacha1 😂😂😂😂View attachment 1609012
View attachment 1609013
Huyo mlevi wa konyagi ndio kawafikishi hapo hatari kweli kweli.
Baada ya Mkutano Mkubwa ukiofanyika BOMANG'OMBE Jimboni Hai Wananchi wameamua kuusindikiza msafara wa Rais Magufuli kwa kukimbia Mbio ili kuonesha mapenzi yao kwake na ccm . Video inamuonesha Dc Ole Sabaya akiongoza Wananchi hao
Pamoja na Upinzani kupeleka viongozi wote Jimboni Hai lakini wamegonga Mwamba maana Wananchi wamejitokeza kwa wingi leo WAKIWA wamebeba majani aina ya masare kuonesha kuomba Radhi kwa kumchagua Mbowe ambae amekuwa kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya Hai.
Masare ni nini mkuuWachaga wa siku hizi wasanii sana. Wana utani na masare.
Askofu Shoo ngoja akienda huko....
Majani wanayabeba wakiomba msamaha mambo ya ugomvi yaisheMasare ni nini mkuu
Ok hayaitwi masare ni masale na pia kazi yake sio hiyo uliyoitaja sababu sio kila msamaha anaombwa na hayo majani.Majani wanayabeba wakiomba msamaha mambo ya ugomvi yaishe
Akili hiyo hanaDuuuuuu!
Sabaya punguza kidogo - fanya vitu undercover isiwe kiwaziwazi hivyo - unaaibisha nafasi hiyo
Ok hayaitwi masare ni masale na pia kazi yake sio hiyo uliyoitaja sababu sio kila msamaha anaombwa na hayo majani.
Sale ni jani la heshma na linabeba mambo mengi makubwa na ya kimila uchagani. Kushika sale wakati kiongozi au chief/mangi anapita ni heshma kubwa sana kwake. Kwa Yale masale ya jana ni wazi rais John Pombe Magufuli amepokelewa kwa heshma ya mangi/mfalme kwenye ardhi ya wachaga
Sale linaweza kutumika kuomba msamaha kwa makosa makubwa sana ambayo yameshindikana kutatuliwa na wakubwa wowote. Hapo ndio mkosaji anaweza kupewa ushauri na wazee achukue Hilo jani tena sio jani ilimradi... kuna sehemu yoyote maalum na uchumaji wake kama ni kwaajili ya msamaha
Kwa Yale masale ya jana ni wazi rais John Pombe Magufuli amepokelewa kwa heshma ya mangi/mfalme kwenye ardhi ya wachaga na amepewa heshma kubwa na baraka kuongoza nchiKwahiyo siku hizi mnayabeba baba tu? Unajua kama nisingekuwa na kihamba nisingeelewa ninachosema
Indeed. Ila wasije wakaenda tena na masà le kwa mwingine. We are living in the world, full of confusionKwa Yale masale ya jana ni wazi rais John Pombe Magufuli amepokelewa kwa heshma ya mangi/mfalme kwenye ardhi ya wachaga na amepewa heshma kubwa na baraka kuongoza nchi
kwenye siasa inabidi uwe mnafiki na mtu wa kujipendekeza all in all chagua magufuli mkuu mitano tenaHahaahaahaha. Kama Ni hivyo Basi siutaki ukuu wa Wilaya Wala mkoa chini ya uongozi wa Magufuli
Huu sasa umekuwa wimbo,kila page naona haya maneno unakela mwisho.Kwa heri Chadema
Mtajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Indeed. Ila wasije wakaenda tena na masà le kwa mwingine. We are living in the world, full of confusion
Muda ni mwl mzuriShekhe Ponda amelaani vikali Vikundi vya kihalifu vinavyolipwa na Ole Sabaya kwa fedha za Vitambulisho vya Wamachinga