Uchaguzi 2020 Ole Sabaya awaongoza Wananchi wa Hai kumsindikiza Magufuli kwa Mbio

Jul 19, 2020
39
128
Baada ya Mkutano Mkubwa ukiofanyika BOMANG'OMBE Jimboni Hai Wananchi wameamua kuusindikiza msafara wa Rais Magufuli kwa kukimbia Mbio ili kuonesha mapenzi yao kwake na ccm . Video inamuonesha Dc Ole Sabaya akiongoza Wananchi hao

Pamoja na Upinzani kupeleka viongozi wote Jimboni Hai lakini wamegonga Mwamba maana Wananchi wamejitokeza kwa wingi leo WAKIWA wamebeba majani aina ya masare kuonesha kuomba Radhi kwa kumchagua Mbowe ambae amekuwa kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya Hai.


 
Hiyo inaitwa sayansikimu siasa
IMG_20201020_175356.jpeg
 
Back
Top Bottom