Ole Naiko Monduli tutakukataa kama JK alivyokukataa

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
May 24, 2008
10,942
428
Kumekuwepo na minong'ono isiyo rasmi kutoka kwa wapambe wa bwn Ole Naiko akiongozwa na mh diwani wa viti maalumu monduli kuwa ameshaanza harakati za chini chini za kutaka kuwania ubunge jimbo la monduli 2015.

Kwa kumbukumbuku tu ni kwamba bwn huyu hata rais alishamkataa tangu mwanzo katika kumpa nafasi nyeti aliyokuwa anaishikilia serikalini ya mkurugenzi wa uwekezaji tz kwani hata katika nafasi hiyo uteuzi wake ulitia mashaka kutoka na kupewa nafasi hiyo kipindi cha mwisho kabisa cha utawala wa mh Mkapa na hata alipomaliza muda wake habari zinasema kuwa rais JK alikataa katakata kumuongea mkataba mwingine.

Matatizo mengi mengi pamoja na kushindwa kabisa kuendesha kituo hicho ikiwa ni pamoja na manyanyaso ya hali juu ya wafanyakazi wa chini yake hasa madereva na mrithi wake katika nafasi hiyo ndiyo yanayopelekea wanamonduli kwa umoja wao waseme HAPANA kwa mtu huyu .

Pamoja na madhaifu mengi ikiwa ni pamoja na kushindwa kuiongoza familia yake mwenyewe tumefika mahali tunajiuliza tutawezaje kumuamini kumpa nafasi kubwa ya ubunge ya kuongoza na kuwatetea wakazi wa monduli wafikao takribani 200,000?

Vijana wengi wamekuwa wakimuelezea ndg Ole Naiko kama miongoni mwa wazee waliokosa hekima na busara na wengi wamekuwa wakishauri ni vyema akaingia kwny fani ya bongo fleva hasa kutokana na muonekano wake wa kuvaa macheni na mapete kama msanii wa muziki.

Kwa pamoja tuungane kusema HAPANA kwa ole Naiko tunahitaji mbunge mwenye kujitoa na kupenda wananchi wake kama ilivyo kwa mbunge wa sasa mh lowassa.
 
ndio tatizo la hawa wazee waliozea kula bata wanataka waendelee tu hadi siku wanaingia kaburini,si hayo tu mtu huyu hata kufika kwake monduli ni kipindi cha mwisho wa mwaka tu kwny sherehe za mh lowassa na mara nyingi amekuwa akitokea arusha mjini hotelini na kupitiliza huko kutokana na hata kushindwa kujenga sehemu aliyozaliwa hapo ngarashi ya juu,sasa endapo akiaminiwa atakua ni miongoni mwa walewale wabunge wanaonekana majimboni mwao kipindi cha uchaguzi,kwa kifupi jamaa huyu ni janga.
 
Kumekuwepo na minong'ono isiyo rasmi kutoka kwa wapambe wa bwn Ole Naiko akiongozwa na mh diwani wa viti maalumu monduli kuwa ameshaanza harakati za chini chini za kutaka kuwania ubunge jimbo la monduli 2015.

Kwa kumbukumbuku tu ni kwamba bwn huyu hata rais alishamkataa tangu mwanzo katika kumpa nafasi nyeti aliyokuwa anaishikilia serikalini ya mkurugenzi wa uwekezaji tz kwani hata katika nafasi hiyo uteuzi wake ulitia mashaka kutoka na kupewa nafasi hiyo kipindi cha mwisho kabisa cha utawala wa mh Mkapa na hata alipomaliza muda wake habari zinasema kuwa rais JK alikataa katakata kumuongea mkataba mwingine.

Matatizo mengi mengi pamoja na kushindwa kabisa kuendesha kituo hicho ikiwa ni pamoja na manyanyaso ya hali juu ya wafanyakazi wa chini yake hasa madereva na mrithi wake katika nafasi hiyo ndiyo yanayopelekea wanamonduli kwa umoja wao waseme HAPANA kwa mtu huyu .

Pamoja na madhaifu mengi ikiwa ni pamoja na kushindwa kuiongoza familia yake mwenyewe tumefika mahali tunajiuliza tutawezaje kumuamini kumpa nafasi kubwa ya ubunge ya kuongoza na kuwatetea wakazi wa monduli wafikao takribani 200,000?

Vijana wengi wamekuwa wakimuelezea ndg Ole Naiko kama miongoni mwa wazee waliokosa hekima na busara na wengi wamekuwa wakishauri ni vyema akaingia kwny fani ya bongo fleva hasa kutokana na muonekano wake wa kuvaa macheni na mapete kama msanii wa muziki.

Kwa pamoja tuungane kusema HAPANA kwa ole Naiko tunahitaji mbunge mwenye kujitoa na kupenda wananchi wake kama ilivyo kwa mbunge wa sasa mh lowassa.

Jiwe walilolikataa waashi.......
 
Kumekuwepo na minong'ono isiyo rasmi kutoka kwa wapambe wa bwn Ole Naiko akiongozwa na mh diwani wa viti maalumu monduli kuwa ameshaanza harakati za chini chini za kutaka kuwania ubunge jimbo la monduli 2015.

Kwa kumbukumbuku tu ni kwamba bwn huyu hata rais alishamkataa tangu mwanzo katika kumpa nafasi nyeti aliyokuwa anaishikilia serikalini ya mkurugenzi wa uwekezaji tz kwani hata katika nafasi hiyo uteuzi wake ulitia mashaka kutoka na kupewa nafasi hiyo kipindi cha mwisho kabisa cha utawala wa mh Mkapa na hata alipomaliza muda wake habari zinasema kuwa rais JK alikataa katakata kumuongea mkataba mwingine.

Matatizo mengi mengi pamoja na kushindwa kabisa kuendesha kituo hicho ikiwa ni pamoja na manyanyaso ya hali juu ya wafanyakazi wa chini yake hasa madereva na mrithi wake katika nafasi hiyo ndiyo yanayopelekea wanamonduli kwa umoja wao waseme HAPANA kwa mtu huyu .

Pamoja na madhaifu mengi ikiwa ni pamoja na kushindwa kuiongoza familia yake mwenyewe tumefika mahali tunajiuliza tutawezaje kumuamini kumpa nafasi kubwa ya ubunge ya kuongoza na kuwatetea wakazi wa monduli wafikao takribani 200,000?

Vijana wengi wamekuwa wakimuelezea ndg Ole Naiko kama miongoni mwa wazee waliokosa hekima na busara na wengi wamekuwa wakishauri ni vyema akaingia kwny fani ya bongo fleva hasa kutokana na muonekano wake wa kuvaa macheni na mapete kama msanii wa muziki.

Kwa pamoja tuungane kusema HAPANA kwa ole Naiko tunahitaji mbunge mwenye kujitoa na kupenda wananchi wake kama ilivyo kwa mbunge wa sasa mh lowassa.

Vp upo kambi ya Membe ama ya Lowasa ama ya akina ndumila kuwili Mwakyembe na Sitta?
 
Kwani Lowassa si ndiyo Mungu wa Monduli? Au kwa vile anagombea urais?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
wanaCCM mna matatizo ya akili.

uyo mbunge wenu wa sasa ni mwizi na muuaji mkubwa na huu uchu wa madaraka mnaouleta huku JF unadhihirisha kuwa huko CCM hamna time ya kutekeleza ilani ya uchaguzi 2010 bali mnapoteza muda mwingi sana kuraruana kwa uchu mithili ya fisi wazee.
 
Watu wanatamaa, kesha kula bata za kutosha bado anataka tu! Dah, binadam kweli hatuliziki.
 
wanaCCM mna matatizo ya akili.

uyo mbunge wenu wa sasa ni mwizi na muuaji mkubwa na huu uchu wa madaraka mnaouleta huku JF unadhihirisha kuwa huko CCM hamna time ya kutekeleza ilani ya uchaguzi 2010 bali mnapoteza muda mwingi sana kuraruana kwa uchu mithili ya fisi wazee.

mkuu umetokea tena wp,mbna unafoka kama vile umeshikwa ma------,umeshindw kuficha ujinga wako kabsa,kama uzi haukuhusu xi upge kimya tu,au cikhz imekuw ni lazm kuchangia uzi
 
Kumekuwepo na minong'ono isiyo rasmi kutoka kwa wapambe wa bwn Ole Naiko akiongozwa na mh diwani wa viti maalumu monduli kuwa ameshaanza harakati za chini chini za kutaka kuwania ubunge jimbo la monduli 2015.

Kwa kumbukumbuku tu ni kwamba bwn huyu hata rais alishamkataa tangu mwanzo katika kumpa nafasi nyeti aliyokuwa anaishikilia serikalini ya mkurugenzi wa uwekezaji tz kwani hata katika nafasi hiyo uteuzi wake ulitia mashaka kutoka na kupewa nafasi hiyo kipindi cha mwisho kabisa cha utawala wa mh Mkapa na hata alipomaliza muda wake habari zinasema kuwa rais JK alikataa katakata kumuongea mkataba mwingine.

Matatizo mengi mengi pamoja na kushindwa kabisa kuendesha kituo hicho ikiwa ni pamoja na manyanyaso ya hali juu ya wafanyakazi wa chini yake hasa madereva na mrithi wake katika nafasi hiyo ndiyo yanayopelekea wanamonduli kwa umoja wao waseme HAPANA kwa mtu huyu .

Pamoja na madhaifu mengi ikiwa ni pamoja na kushindwa kuiongoza familia yake mwenyewe tumefika mahali tunajiuliza tutawezaje kumuamini kumpa nafasi kubwa ya ubunge ya kuongoza na kuwatetea wakazi wa monduli wafikao takribani 200,000?

Vijana wengi wamekuwa wakimuelezea ndg Ole Naiko kama miongoni mwa wazee waliokosa hekima na busara na wengi wamekuwa wakishauri ni vyema akaingia kwny fani ya bongo fleva hasa kutokana na muonekano wake wa kuvaa macheni na mapete kama msanii wa muziki.

Kwa pamoja tuungane kusema HAPANA kwa ole Naiko tunahitaji mbunge mwenye kujitoa na kupenda wananchi wake kama ilivyo kwa mbunge wa sasa mh lowassa.

Hivi wewe mtu aliyekataliwa na Rais anaweza kuruhusiwa kuwa Balozi WA nchi ?
 
Ebu tupishe huko na ongo wako ,mzee alistafuuu kwa Umri

Kumekuwepo na minong'ono isiyo rasmi kutoka kwa wapambe wa bwn Ole Naiko akiongozwa na mh diwani wa viti maalumu monduli kuwa ameshaanza harakati za chini chini za kutaka kuwania ubunge jimbo la monduli 2015.

Kwa kumbukumbuku tu ni kwamba bwn huyu hata rais alishamkataa tangu mwanzo katika kumpa nafasi nyeti aliyokuwa anaishikilia serikalini ya mkurugenzi wa uwekezaji tz kwani hata katika nafasi hiyo uteuzi wake ulitia mashaka kutoka na kupewa nafasi hiyo kipindi cha mwisho kabisa cha utawala wa mh Mkapa na hata alipomaliza muda wake habari zinasema kuwa rais JK alikataa katakata kumuongea mkataba mwingine.

Matatizo mengi mengi pamoja na kushindwa kabisa kuendesha kituo hicho ikiwa ni pamoja na manyanyaso ya hali juu ya wafanyakazi wa chini yake hasa madereva na mrithi wake katika nafasi hiyo ndiyo yanayopelekea wanamonduli kwa umoja wao waseme HAPANA kwa mtu huyu .

Pamoja na madhaifu mengi ikiwa ni pamoja na kushindwa kuiongoza familia yake mwenyewe tumefika mahali tunajiuliza tutawezaje kumuamini kumpa nafasi kubwa ya ubunge ya kuongoza na kuwatetea wakazi wa monduli wafikao takribani 200,000?

Vijana wengi wamekuwa wakimuelezea ndg Ole Naiko kama miongoni mwa wazee waliokosa hekima na busara na wengi wamekuwa wakishauri ni vyema akaingia kwny fani ya bongo fleva hasa kutokana na muonekano wake wa kuvaa macheni na mapete kama msanii wa muziki.

Kwa pamoja tuungane kusema HAPANA kwa ole Naiko tunahitaji mbunge mwenye kujitoa na kupenda wananchi wake kama ilivyo kwa mbunge wa sasa mh lowassa.
 
Kumekuwepo na minong'ono isiyo rasmi kutoka kwa wapambe wa bwn Ole Naiko akiongozwa na mh diwani wa viti maalumu monduli kuwa ameshaanza harakati za chini chini za kutaka kuwania ubunge jimbo la monduli 2015.

Kwa kumbukumbuku tu ni kwamba bwn huyu hata rais alishamkataa tangu mwanzo katika kumpa nafasi nyeti aliyokuwa anaishikilia serikalini ya mkurugenzi wa uwekezaji tz kwani hata katika nafasi hiyo uteuzi wake ulitia mashaka kutoka na kupewa nafasi hiyo kipindi cha mwisho kabisa cha utawala wa mh Mkapa na hata alipomaliza muda wake habari zinasema kuwa rais JK alikataa katakata kumuongea mkataba mwingine.

Matatizo mengi mengi pamoja na kushindwa kabisa kuendesha kituo hicho ikiwa ni pamoja na manyanyaso ya hali juu ya wafanyakazi wa chini yake hasa madereva na mrithi wake katika nafasi hiyo ndiyo yanayopelekea wanamonduli kwa umoja wao waseme HAPANA kwa mtu huyu .

Pamoja na madhaifu mengi ikiwa ni pamoja na kushindwa kuiongoza familia yake mwenyewe tumefika mahali tunajiuliza tutawezaje kumuamini kumpa nafasi kubwa ya ubunge ya kuongoza na kuwatetea wakazi wa monduli wafikao takribani 200,000?

Vijana wengi wamekuwa wakimuelezea ndg Ole Naiko kama miongoni mwa wazee waliokosa hekima na busara na wengi wamekuwa wakishauri ni vyema akaingia kwny fani ya bongo fleva hasa kutokana na muonekano wake wa kuvaa macheni na mapete kama msanii wa muziki.

Kwa pamoja tuungane kusema HAPANA kwa ole Naiko tunahitaji mbunge mwenye kujitoa na kupenda wananchi wake kama ilivyo kwa mbunge wa sasa mh lowassa.

Pamoja na kwamba sipendi kuwaunga mkono wahamiaji haramu kwenye nafasi za ubunge Monduli akiwemo huyo mpare- mmeru Naiko bado taarifa yako ni ya majungu na fitna dhidi ya Naiko na huyo unayemuita mbunge wa viti maalum.
Tutaaminije minong'ono isiyo rasmi?
Halafu wewe ni nani kwenye jamii nzima ya wanamonduli kuwapangia mtu anayefaa kuwa mbunge wa Wilaya nzima hiyo?
Kinachonifurahisha zaidi ni kwamba lazima kuna mgawanyiko mkubwa kwenye kambi yenu ya white hair na ndio maana unakuja na majungu humu.
2015 NI WAKATI SAHIHI KWA WANAMONDULI KUACHANA NA WAHAMIAJI NA KUMCHAGUA MBUNGE MIONGONI MWAO.
 
Back
Top Bottom