Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Na Thadei Ole Mushi.
1. Pale Simba kwa wachezaji wa Nje wabaki wawili tu Inonga na Kanoute. Hawa kina Onyango ni wakati wa kwenda kupiga kura huko Kenya na Kubakia huko huko.
2. Mayele hakufunga lakini kwangu huyu ndiye man of the Match. Jamaa kakichafua sana na kathibitisha kuwa Onyango anastahili kustaafu kwa Heshima.
3. Makambo Mashabiki wanampenda sana lakini Miguu yake imemkataa. Huyu atafute timu mapema anapaswa kuachwa.
4. Wakati Pablo anakuja nilisema kuwa Simba walihitaji wachezaji bora kwanza kabla ya kumtafuta Kocha mzuri. Walitukana lakini kwa kikosi kile hata aje Gurdiola hawezi kubadili matokeo.
5. Yanga haipaswi kubweteka kuna maeneo ya Kufanyia kazi hasa Beki wa Kushoto. Yupo kibwana anajitahidi sana japokuwa kiasili si beki wa Kushoto kuumia kwake leo kama Kibu angeendelea na ubora alikuwa nao na hakuumia wangesawazisha.
6. Yanga imepiga kwenye Mshono... Match hii imewauma sana Watani ni bora wangefungwa na Yanga kwenye ligi kuu lakini si kuwaondoa kwenye kombe la Azam. Ni mahali Pekee ambapo palikuwa pamebakia pa kuambulia chochote msimu huu.
7. Simba ina kazi kubwa ya kukisuka upya Kikosi chao. Kusuka kikosi cha Kupata ushindi inahitaji muda sana. Mpaka waje kupata combination kama ya Chama na Mickson sio leo wala Kesho. Si mara zote usajili unaweza kukulipa ni bahati nasibu kwenye kua assemble timu. Hili limewakuta Yanga miaka minne nyuma wamenunua wachezaji na kuachana nao kwa kuwa hawakutoa kilichotarajiwa.
8. Simba wamejifunza kuwa Mpira sio pesa tu.... kitendo cha kuwauz key players wao (Chama na Mickson) wasije kukirudia tena kama hawana mbadala.
9. Manara anabakia kuwa mtu mwenye furaha zaidi msimu huu, Kahama na Vikombe vyake pale Simba kama yanga itafanikiwa kuchukua ubingwa katika mashindano yote. Jamaa ana kismart flan hivi. Kila anachokishika kwenye Soka kinamlipa..... amekuja Yanga ikiwa ya Kawaida kabisa.... katujengea kujiamini. MANARA ana Mchango mkubwa sana pale Yanga.
10. Feisal Salum Abdalah.... Maeneo kama yake hakuachi. Kamwadhibu sana Kakolanya.... amehatarisha pia afya yake na Mkataba wake. Sina Kumbukumbu sahihi kama hawa wawili waliwahi kugombana...
Ukichukia Uwe na Sababu na Ukifurahi Share.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
1. Pale Simba kwa wachezaji wa Nje wabaki wawili tu Inonga na Kanoute. Hawa kina Onyango ni wakati wa kwenda kupiga kura huko Kenya na Kubakia huko huko.
2. Mayele hakufunga lakini kwangu huyu ndiye man of the Match. Jamaa kakichafua sana na kathibitisha kuwa Onyango anastahili kustaafu kwa Heshima.
3. Makambo Mashabiki wanampenda sana lakini Miguu yake imemkataa. Huyu atafute timu mapema anapaswa kuachwa.
4. Wakati Pablo anakuja nilisema kuwa Simba walihitaji wachezaji bora kwanza kabla ya kumtafuta Kocha mzuri. Walitukana lakini kwa kikosi kile hata aje Gurdiola hawezi kubadili matokeo.
5. Yanga haipaswi kubweteka kuna maeneo ya Kufanyia kazi hasa Beki wa Kushoto. Yupo kibwana anajitahidi sana japokuwa kiasili si beki wa Kushoto kuumia kwake leo kama Kibu angeendelea na ubora alikuwa nao na hakuumia wangesawazisha.
6. Yanga imepiga kwenye Mshono... Match hii imewauma sana Watani ni bora wangefungwa na Yanga kwenye ligi kuu lakini si kuwaondoa kwenye kombe la Azam. Ni mahali Pekee ambapo palikuwa pamebakia pa kuambulia chochote msimu huu.
7. Simba ina kazi kubwa ya kukisuka upya Kikosi chao. Kusuka kikosi cha Kupata ushindi inahitaji muda sana. Mpaka waje kupata combination kama ya Chama na Mickson sio leo wala Kesho. Si mara zote usajili unaweza kukulipa ni bahati nasibu kwenye kua assemble timu. Hili limewakuta Yanga miaka minne nyuma wamenunua wachezaji na kuachana nao kwa kuwa hawakutoa kilichotarajiwa.
8. Simba wamejifunza kuwa Mpira sio pesa tu.... kitendo cha kuwauz key players wao (Chama na Mickson) wasije kukirudia tena kama hawana mbadala.
9. Manara anabakia kuwa mtu mwenye furaha zaidi msimu huu, Kahama na Vikombe vyake pale Simba kama yanga itafanikiwa kuchukua ubingwa katika mashindano yote. Jamaa ana kismart flan hivi. Kila anachokishika kwenye Soka kinamlipa..... amekuja Yanga ikiwa ya Kawaida kabisa.... katujengea kujiamini. MANARA ana Mchango mkubwa sana pale Yanga.
10. Feisal Salum Abdalah.... Maeneo kama yake hakuachi. Kamwadhibu sana Kakolanya.... amehatarisha pia afya yake na Mkataba wake. Sina Kumbukumbu sahihi kama hawa wawili waliwahi kugombana...
Ukichukia Uwe na Sababu na Ukifurahi Share.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app