Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mh Mahiga ni Mwanadiplomasia mzuri sana amesomea maswala ya Kidiplomadia na ana PhD ya International Relations. Hana maarifa yoyote ya Sheria kwa maana ya kuisomea Sheria katika ngazi yoyote ya Elimu. Ana Degree ya Education kwa maana hiyo huyu ni mwalimu wa Arts Mzuri tu. Baadaye alijikita kwenye masuala ya kidplomasia hadi Kupata PhD.
Mh Kabudi yeye si Mwanadiplomasia kwa maana ya kusomea. Huyu ni msheria kiasili, kuanzia chini yaani Degree ya kwanza hadi PhD yake kajikita kwenye Sheria....
NINI NAKIONA?
Mabadiliko haya ni ya kiufundi kama yalivyo kwenye mpira. Unaweza ukamtoa Beki ukaingiza Mshambuliaji kwa lengo La kitafuta Matokeo muhimu uwanjani.
Kwa Sasa naona mtu ambaye anaweza kuongea Lugha na Tone anayoiongea Lisu njee ya Mipaka yetu ya Nchi ni Prof Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.
Huyu anaweza akafanya Clearance ya Yale anayoongea Lisu huko njee. Natarajia wizara hii kwa sasa itapewa kibali cha kusafiri watakavyo njee ya mipaka ya nchi hii.
Uwezo wa Kabudi hauna mashaka huyu ni Nguli kweli hata akikudanganya utakuja kujua Kesho yake.....Kabudi anajua kuongea, Anajua vitu Vingi sana na mtaaluma kweli kweli.
Hebu tusubiri tuone Kabudi ataanza na Lipi kwenye wizara yake mpya. Its my prediction anaenda kuziba nafasi mahali.....
Kwa sasa CCM wanashambulia na Kulinda hii ndio tofauti ninayoiona na Upinzani. Kila likija jambo jipya CCM wanajaribu kulijibu au kutafuta namna ya kupambana nalo hata kama wanakosea. Hata hili la Kabudi kama litakuwa sawa na mtizamo wangu nawapongeza kuwa kila vita wanaipigana haijalishi wanashinda au lah.
Yote kwa Yote namtakia Kila LA Kheri katika majukumi yake mapya na sisi kama watanzania tunahitaji umoja, upendo, na Amani. Akafanikishe kumrejesha Ndugu yetu Lisu nyumbani na sio kuongeza Mvutano njee ya mipaka yetu.
#Akili Kubwa Zote ni Mali ya Rais wa Nchi zitumike kuleta mafanikio katika nchi.
Ole Mushi.
0712702602
Mh Kabudi yeye si Mwanadiplomasia kwa maana ya kusomea. Huyu ni msheria kiasili, kuanzia chini yaani Degree ya kwanza hadi PhD yake kajikita kwenye Sheria....
NINI NAKIONA?
Mabadiliko haya ni ya kiufundi kama yalivyo kwenye mpira. Unaweza ukamtoa Beki ukaingiza Mshambuliaji kwa lengo La kitafuta Matokeo muhimu uwanjani.
Kwa Sasa naona mtu ambaye anaweza kuongea Lugha na Tone anayoiongea Lisu njee ya Mipaka yetu ya Nchi ni Prof Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.
Huyu anaweza akafanya Clearance ya Yale anayoongea Lisu huko njee. Natarajia wizara hii kwa sasa itapewa kibali cha kusafiri watakavyo njee ya mipaka ya nchi hii.
Uwezo wa Kabudi hauna mashaka huyu ni Nguli kweli hata akikudanganya utakuja kujua Kesho yake.....Kabudi anajua kuongea, Anajua vitu Vingi sana na mtaaluma kweli kweli.
Hebu tusubiri tuone Kabudi ataanza na Lipi kwenye wizara yake mpya. Its my prediction anaenda kuziba nafasi mahali.....
Kwa sasa CCM wanashambulia na Kulinda hii ndio tofauti ninayoiona na Upinzani. Kila likija jambo jipya CCM wanajaribu kulijibu au kutafuta namna ya kupambana nalo hata kama wanakosea. Hata hili la Kabudi kama litakuwa sawa na mtizamo wangu nawapongeza kuwa kila vita wanaipigana haijalishi wanashinda au lah.
Yote kwa Yote namtakia Kila LA Kheri katika majukumi yake mapya na sisi kama watanzania tunahitaji umoja, upendo, na Amani. Akafanikishe kumrejesha Ndugu yetu Lisu nyumbani na sio kuongeza Mvutano njee ya mipaka yetu.
#Akili Kubwa Zote ni Mali ya Rais wa Nchi zitumike kuleta mafanikio katika nchi.
Ole Mushi.
0712702602