Ole Milya azomewa msibani

Katika hali ya kushangaza Ole Millya azomewa msibani.Hili limetokea baada ya kupewa nafasi ya kutoa salamu na kuingiza masuala ya CCM ndipo waombolezaji walipomtolea uvivu na kuanza kumzoea kwa nguvu
Habari yenyewe imekaa kiudaku daku tu.
 
lete evidence.... isine ikawa kashangiliwa kwa yowe, vifijo na nderemo wewe ukasikia yowe tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hao ni waombolezaji au wazomeaji? I mean kama nimefiwa na mtu wangu wa karibu ninayemjali sijui kama nitapata muda au hata nguvu ya kuzomea mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…