watani zangu masharubu acheni kupiga mayowe Asprin, kichenchele, stroke, Kakalende, Safari_ni_Safari, Abdulhalim na Kigogo ngoja wayaone wenyewe. Kombe la kuku jana mlitoka ngapi ngapi na lamba lamba Azam
Masuke ndio tumepeleka kikosi chetu B kupasha kombe la kuku kikosi A kipo katika mazoezi makali ya kutetea ndoo ya kagame
Mkuu nimeuliza mliwaokoteza wapi? maana inafahamika timu yenu haina kikosi B, na hili la Okwi hebu tueleze hii sio janja ya kutaka kuondoa maswali mengi kwa wanachama wenu na mashabiki wanayojiuliza ilikuwaje mkapeleka timu ya kuokoteza kwa jina la Yanga wakati kila siku wanasikia kwenye radio mmesajili wachezaji mahiri?
Lakini pia kuna mashindano ya vijana yanaanza tarehe 09 nchini Burundi na Yanga kama ina timu ya vijana wanatakiwa kwenda kushiriki sasa timu hiyo hiyo mkaipeleka Zanzibar kama ndo yenyewe kweli mashindano ambayo yanaisha tarehe 12 kama sijakosea na pengine timu ingefika fainali sasa hapo mngewezaje kushiriki mashindano mawili kwa wakati mmoja?
Yanga ina team B kiongozi,althogh it is not as strong as ile ya kwenu, ila hii team ipo na hufundishwa na Keneth Mkapa na kipindi kingine na Salvatory Edward
watani zangu masharubu acheni kupiga mayowe Asprin, kichenchele, stroke, Kakalende, Safari_ni_Safari, Abdulhalim na Kigogo ngoja wayaone wenyewe. Kombe la kuku jana mlitoka ngapi ngapi na lamba lamba Azam
hehehehhehehe kama nakuona vile unavyoona aibuOkwi akaribia kutua Jangwani