Okwi ajiunga na Azam

hizi habari mnazipata wapi?

huyu nae anatafuta relief tu hana uhakika yericko kule twitter alimuuliza okwi kama anajua jamaa kashangaa ila akasema asubiri apigiwe simu na kaburu kuwa aende moja kwa moja azam hata muuzwaji hajui ngoja tusikie shafii atasemaje..
 
Hahaha! Mkuu Mwili Nyumba hilo sahau umemsahau kiemba nini na kipindi hicho Amir maftaa atakuwepo bado mwinyi kazimoto hapo mzunguko wa pili Simba tutarudi kivingine sana


Jipe moyo tu mkuu utashuhudia mwenyewe tutakavyowaumbua! Chezea sisi weyeee??
 
Ningekuwa mimi ni kiongozi wa Simba ningeshawishi timu iachane na wageni, Edward Christopher na Abdallah Juma wakipigishwa mazoezi ni mbadala wa Sunzu, Ramadhani Singano na Haruna Chanongo wakipigishwa mazoezi ya nguvu ni mbadala wa Okwi, Abdallah Seseme na Said Ndemula wanaweza kurithi dimba la kati, Double Hassan wanarithi nafasi za Keita na Ocheing. Inabidi viongozi wa Simba wawaamini hao madogo hawa wageni wanatuzingua tu.
 

kazi ipo hasa kwa kuendeleza vipaji vyetu hilo halipo kabisa wote ni uozo mtu..
 

Wanazengua sana kama huyu Dani Akuffor hamna kitu kabisa anakula mshahara wa bure tu!
 
yalikuwepo majembe mengi na simba iko vizuri
 
Naona kwenye Mwanaspoti leo,Yanga yakubali kumnunua OKWI kwa mil 395,inaonekana ameshaamua kuhama Simba
 
eti enheee maana hata picha hatuziona mbona bocco ngasa na wengine tuliziona ila yeye tu hatujaziona..

South A.kakimbia vipimo mara mbili, Austaralia kakimbia mara moja eti alikuwa anaumwa maralia akarudi Uganda kutibiwa.
 
Namkumbuka sana Shaban Nonda...! Lakini sidhani kama Okwi anacho kiwango cha ki-Ulaya...! Hana "energy & drive" ya professional footballer ... Ni kama analewa masifa haraka mno
 
Kila la kheri kwake.
Jamaa kiwango chake ni kukipiga Ulaya. Hapo Azam naamini ni njia tu; umri pia bado unaruhusu.

ana umri gani kwani??
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…