Ningekuwa mimi ni kiongozi wa Simba ningeshawishi timu iachane na wageni, Edward Christopher na Abdallah Juma wakipigishwa mazoezi ni mbadala wa Sunzu, Ramadhani Singano na Haruna Chanongo wakipigishwa mazoezi ya nguvu ni mbadala wa Okwi, Abdallah Seseme na Said Ndemula wanaweza kurithi dimba la kati, Double Hassan wanarithi nafasi za Keita na Ocheing. Inabidi viongozi wa Simba wawaamini hao madogo hawa wageni wanatuzingua tu.