Tanzania1960
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 204
- 22
hiyo janja ya yanga mumepigwa goli la dobo,mmetishwa kwamba watamsajili okwi mkashtuka mhh isije ikawa kama yondani na mbuyu wanachama watacharuka afadhali azam.....................goli lingine .kinachofurahisha ni kwamba kakwepa malapa
simba ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo hata bila okwi..umesikia matusi ya ngasa jana..hata hivyo Okwi bado ana mkataba na simba wa miezi zaidi ya 7..
Simba na Azam walichofanya wameswap Okwi 2 Azam Kipre Tcheche na Erasto Nyoni wamekuja Simba.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kila la kheri kwake.
Jamaa kiwango chake ni kukipiga Ulaya. Hapo Azam naamini ni njia tu; umri pia bado unaruhusu.
Simba wananiboa. Wanarusu vp staa km huyo kuondoka kirahisi?
Alaah, kumbe bado, tusubiri basi taarifa zibainisheMshambuliaji lulu wa klabu ya Simba ya jijini Dar, Emanuel Okwi amejiunga na Klabu ya Azam. ...Taarifa za kuaminika toka ndani ya Simba na Azama zitabainisha hivyo!
Simba wananiboa. Wanarusu vp staa km huyo kuondoka kirahisi?
Umenena, TP Mazembe tu imemshinda..ataishia kama Lunyamila.
Aisee tutampakata vibaya mnyama kwenye mechi ya marudiano.
Alaah, kumbe bado, tusubiri basi taarifa zibainishe
Mwakani Simba lazima washuke daraja wapi mtani Crashwise?
Simba na Azam walichofanya wameswap Okwi 2 Azam Kipre Tcheche na Erasto Nyoni wamekuja Simba.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Tatizo huko Ulaya huwa anakimbia vipimo