Kuwa makini na kila unachoposti, hasa kuhusianisha Yesu na siasa za hawa wezi na waporaji wa mali za umma na hususani kipindi hiki ambacho kuna fukuto kubwa sana la watu kutaka mabadiliko. Mwombe Roho Mtakatifu akujalie hekima na busara. Lengo linaweza kuwa zuri lakini uwasilishaji wake ndio ukawa na kasoro.