Okoa ndoa hii

hahahaha! Mwenzio mambo ya hospital siyajui ila nafikiri amemaanisha vipimo vya DNA.
Hapana nadhani alitaka atupige changa la macho mara nyingi ile utrasound huwa wanaitumia kuangalia mtoto atakuwa ni sex gani yaani kwenye monitor lakini image haionekani vizuri hata kuona hiyo sex ya mtoto inakuwa kwa matatizo.., sasa huyu ndugu yetu sijui aliona nini
 
Aliona Vampire!!!!
 
hivyo! Hebu nisaidie kumwambia anirudishie hiyo pole. Angekuwa karibu ningempiga makonzi, watu wazima na heshma zetu anatutania.
 
Mie namshangaa alikuwa anasubiria aumbuke au, heri....kuliko fedheha hii kubwa namna hii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…